Kosa kutumia pesa usiyoitambua

SirLuke

Member
Dec 1, 2014
75
8
Wana JF,

Najua kuna wanasheria na mawakili wengi humu ndani. Naomba kufahamu, iwapo mtu amepokea pesa kutoka kwa mtu usiyemfahamu na ukaitoa na kuitumia bila ridhaa yake, je sheria inasemaje kuhusu hili?
 
Back
Top Bottom