Wadau nilikuwa shambani siku za karibuni nilikutana na kitu cheusi kinachong'aa lakini sio makaa ya mawe.Ni kizito kina matundu matundu na hakishiki kwenye sumaku.Naombeni wanaoweza kutambua ni kitu gani mnieleweshe.Picha nimeambatanisha.Asanteni!
Mtu yeyote katika nchi hii akionekana ni mkosoaji wa serikali hubambikiwa na vitu vingi kama vile siyo raia halali au mkwepa kodi. Watawala wanadhani wakosoaji wengi sio raia wa nchi hii kweli tutafika?Nafia Africa#
Kiwanja chenye nyumba kina ukubwa wa sqm 1400 na kimepimwa.Kipo ndani ya halimashauri ya mji wa Makambako barabara kuu kuelekea njombe bei ni kuanzia 17M maelewano yapo. Kwa anayehitaji ani PM na pia kuna viwanja vingine wanaohitaji wawahi mapema.
kigezo cha nchi kupata misaada kutoka nje ni inayofuata misingi ya utawala bora pamoja na demokrasia safi.Ukiona misaada mingi imekata jua hivyo vitu hapo havipo nchini kwenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa hio mimi huwa nashindwa kuelewa ina maana Wakuu wa shule ni chanzo cha wanafunzi kufeli? Na kumbukeni katika elimu kuna kufeli na kufaulu.Kwa mawazo ya WaTz wanajua lengo la shule ni kufaulisha wanafunzi.Elimu ni pana jaman ni zaidi ya kufaulu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.