Wabunge wasema adhabu waliyopewa Halima na Bulaya haitoshi, mwingine ataka wafutwe kabisa ubunge

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
1,817
4,061
Baadhi ya wabunge wamedai adhabu waliyopewa Halima Mdee na Bulaya haiwatoshi huku mbunge mmoja akitaka wabunge hao wafutiwe kabisa ubunge

Wabunge hao ni Ally Kessy amabaye amesema wabunge inawezekana wanavuta wadawa ya kulevya, mwingine ni Mary Chatanda aliyesema Bulaya amebadilika sana tofauti na alivyokuwa CCM
Jackiline Ngonyani wa CCM amesema wabunge hao wangefutiwa kabisa ubunge wao ili wapate kiki vizuri
Hadija Abood nae alisema adhabu waliyopewa haitoshi na ikiwezekana spika angewaondoa wasiwe wabunge kabisa

Mbunge Ally Saleh amesema kulikuwa hakuna haja ya jambo hilo kufanywa kwa haraka na ndio maana imezua mjadala

Abdallah Mtolea mbunge wa Temeke alisema adhabu waliyopewa ni kubwa na ingepaswa waangalie adhabu nyingine za kuwapa na mwezi wa ramadhani ni mwezi wa kusamehe

Wabunge waliowatetea ni Kubenea ambaye alisema Spika ndiye alikuwa mlalamikaji kisha ndiye mtoa hukumu na hajatumia busara na hata kwenye ripoti waliyotoa hikutajwa ambayo ilikuwa ni majibu machafu ya Lusinde kwa wabunge na ushahidi upo


Badhi ya wabunge waliwatetea b
 
Sheria zikoje kwani? Maana hoja zingine zimekaa kipumbavu... aliyechaguliwa na wananchi ni Tofauti na mteuliwa... na kosa gani haswa laweza sababisha ubunge kusitishwa na pia adhabu zina muda gani kikatiba na kanuni?

Watambue uonevu ndio uliosababisha ya kibiti
 
Baadhi ya wabunge wamedai adhabu waliyopewa Halima Mdee na Bulaya haiwatoshi huku mbunge mmoja akitaka wabunge hao wafutiwe kabisa ubunge

Wabunge hao ni Ally Kessy amabaye amesema wabunge inawezekana wanavuta wadawa ya kulevya, mwingine ni Mary Chatanda aliyesema Bulaya amebadilika sana tofauti na alivyokuwa CCM
Jackiline Ngonyani wa CCM amesema wabunge hao wangefutiwa kabisa ubunge wao ili wapate kiki vizuri
Hadija Abood nae alisema adhabu waliyopewa haitoshi na ikiwezekana spika angewaondoa wasiwe wabunge kabisa

Mbunge Ally Saleh amesema kulikuwa hakuna haja ya jambo hilo kufanywa kwa haraka na ndio maana imezua mjadala

Abdallah Mtolea mbunge wa Temeke alisema adhabu waliyopewa ni kubwa na ingepaswa waangalie adhabu nyingine za kuwapa na mwezi wa ramadhani ni mwezi wa kusamehe

Wabunge waliowatetea ni Kubenea ambaye alisema Spika ndiye alikuwa mlalamikaji kisha ndiye mtoa hukumu na hajatumia busara na hata kwenye ripoti waliyotoa hikutajwa ambayo ilikuwa ni majibu machafu ya Lusinde kwa wabunge na ushahidi upo


Badhi ya wabunge waliwatetea b


Hao wanaosema wafutwe ubunge ni vilaza mmbunge hachaguliwi na bunge Bali na wananchi,mkiwafukuza tutawarudisha tu,hatuchagui makanikia maana hatuna mtambo wa kujua yupi bora na timamu
 
Sheria zikoje kwani? Maana hoja zingine zimekaa kipumbavu... aliyechaguliwa na wananchi ni Tofauti na mteuliwa... na kosa gani haswa laweza sababisha ubunge kusitishwa na pia adhabu zina muda gani kikatiba na kanuni?

Watambue uonevu ndio uliosababisha ya kibiti
Waliotoa hoja za kuwafukuza kina Halima ni wale wamama wa kupewa Ubunge mezani.
 
Tunaanda mapokezi makubwa wakirudi kwenye majimbo yao. Hao wote ni wale walioangusha vigogo.
Wamuulize Wassira na Kippi muziki wa hao wadada ukoje? Huyo mbunge Kessy nashindwa nimuite jina gani! Kweli bungeni kuna mizigo.
 
Hawa wabunge wa ccm ni vila.za kabisa. Mbunge aliyechaguliwa na wananchi spika anawezaje kumfuta ubunge? Ndiyo maana mikataba ya wizi wa madini inapelekwa bungeni wao wanapiga makofi tu. Bure kabisa hao vila.za wa ccm
 
Kabla kina Mdee hawajamaliza hiyo hukumu, baadhi ya waliowahukumu kwa chuki Mungu atakuwa amewashawahukumu.

Mungu atawapa pigo kubwa na zito kuliko hiyo hukumu waliotoa.
Dua la kuku.

Mungu hawezi Fanya hivyo,.

Mungu anakataza mapenz ya jinsia moja .

Laana imewashukia wahusika.
 
Kabla kina Mdee hawajamaliza hiyo hukumu, baadhi ya waliowahukumu kwa chuki Mungu atakuwa amewashawahukumu.

Mungu atawapa pigo kubwa na zito kuliko hiyo hukumu waliotoa.
image.jpeg
 
Back
Top Bottom