Kkimondoa
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 4,453
- 4,933
Kwa yeyote mwenye akili fupi na ndogo kama wewe lazima atakuunga mkono lakini kwa mwenye akili angetafuta kwanza sababu na vyanzo kabla ya kuvua mtu madaraka, kwanza historia ya shule hizo tangu mwanzi zikoje na je tatizo ni mkuu wa shule, wanafunzi,walimu,vitendea kazi na mazingira au nini chanzo baada ya hapo hatua zinachukuliwa?? Hii yote sababu kufanya kazi kwa hisia kuliko utaalamu matokeo yake ndio hayo tunatatizo kubwa sana la ukosefu wa akili na tafakari kwa baadhi yaNi moja ya njia za kuongeza uwajibikaji, kwa nini shule zingine zimefanya vzr? kwa nini wao tu? hongera sana WILAYA YA KIGAMBONI
viongozi.
Na nina hakika tanzania tuna watu wachache sana tena sana wenye uelewa mpana wa mambo.
Matokeo yametoka jana huo utafiti wa kujiridhisha kuwa mwalimu mkuu ndio chanzo umefanyika sangapi? Hii mizuka hii!!