Recent content by sir ernie boss

  1. S

    Mahakama ya kimataifa ya usuluhishi wa michezo ‘CAS’ imetupilia mbali Rufaa ya klabu ya Yanga, dhidi ya mchezaji Bernad Morrison

    Huu ni ushindi wa Simba na TFF! Kwani walikuwa kimya kelele zinapigwa na jamaa peke Yao! Wasemaji, waendesha mashtaka cjui majaji na kila kitu walikuwa wao! Hii ni aibu Yao! Hebu tufike wakati tuachane na mambo haya mpira uchezwe! Simba na TFF wameonyesha UKOMAVU!
  2. S

    Mahakama ya kimataifa ya usuluhishi wa michezo ‘CAS’ imetupilia mbali Rufaa ya klabu ya Yanga, dhidi ya mchezaji Bernad Morrison

    Kuwa mvumilivu lkn watu mijuu guu! Watafute lingine! Kwani ni wazee wa drama!
  3. S

    Plata O Plomo: Ulimwengu wa Siri Kiganjani Kwa Binadamu Mmoja[ Pablo Escobar]

    Huyu jamaa alichangamsha Sana Dunia kwa vibweka vyake
  4. S

    Wanahabari washindwa kujizuia, hatimaye wameripoti habari ya Makonda

    Kama una adui yako AKIPIGWA lazima utamtangaza sana kupigwa kwake kwani ni FURAHA kwako TOFAUTI na adui yako AKIPIGA!
  5. S

    Uvamizi wa Gambia, umezidi kuipunguzia Afrika heshima nje ya Afrika!

    Akina nani hao walioshindwa kumuondoa mbowe?
  6. S

    Uvamizi wa Gambia, umezidi kuipunguzia Afrika heshima nje ya Afrika!

    Hakuna njia mbadala ya viongozi Wa aina hii zaidi ya kuwatoa kijeshi! Kwa sanduku la kura limemkataa kwa nini hataki kukubali natokeo? Wanatumia vibaya vyombo vya dola kwa KUWAKANDAMIZA wananchi wao! Hii ndio DAWA pekee
Back
Top Bottom