Huu ni ushindi wa Simba na TFF! Kwani walikuwa kimya kelele zinapigwa na jamaa peke Yao! Wasemaji, waendesha mashtaka cjui majaji na kila kitu walikuwa wao! Hii ni aibu Yao! Hebu tufike wakati tuachane na mambo haya mpira uchezwe! Simba na TFF wameonyesha UKOMAVU!
Hakuna njia mbadala ya viongozi Wa aina hii zaidi ya kuwatoa kijeshi! Kwa sanduku la kura limemkataa kwa nini hataki kukubali natokeo? Wanatumia vibaya vyombo vya dola kwa KUWAKANDAMIZA wananchi wao! Hii ndio DAWA pekee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.