Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,033
- 173,722
Hahahahha we huamini sababu umetulizana, wenzio ukitangaza dau tu unaweza walamba hata watano kwa sikuUon
Uongo ulioshibishwa
Hahahahha we huamini sababu umetulizana, wenzio ukitangaza dau tu unaweza walamba hata watano kwa sikuUon
Uongo ulioshibishwa
Duh Sasa ukilamba watano huoni km wewe ndo unajiongezea na kusambaza mikosiHahahahha we huamini sababu umetulizana, wenzio ukitangaza dau tu unaweza walamba hata watano kwa siku
Wao si wanaibeba piaDuh Sasa ukilamba watano huoni km wewe ndo unajiongezea na kusambaza mikosi
Ooih mnakuwa mnabadilishana hapo nimeelewa sasaWao si wanaibeba pia
Kuwa na pesa sio baraka mkuu,(usichokijua ni sawa na usiku wa giza),kuna watu wana hizo pesa na hawana raha na amani kabisa,anafikia mahali anatamani hata asingekuwa nazo,unaweza kuwa na pesa na bado ukawa unateseka na laana,mikosi na mabalaa chungu nzima.Aliyenzisha uzi kaongea kifupi sana lakini ukifuatilia alichoongea kiroho yuko sahihi sana...Hizi propaganda nishazikataa kitambo Sana. Kuna watu wanaloweka rungu kila siku na pesa wanayo tu.
Vipi akina uwoya kwamba wao wanakutana na wanaume wasio na mikosi maishani mwao?
Unaambiwa mengi alikuwa mzee wa totozi ile mbaya mbona Mali zake zipo hadi leo? Mudy je kwamba haoloweki?
Rickrosee msanii mmarekani amepiga hadi akina mobeto mbona anazidi kutusua tu. Hii Mimi sikubaliani nayo lete nyingine .
Umaskin Mara nyingi Ni background tu. Kama mababu zako walikuwa wavivu enzi hizo ambapo Mali zilikuwa zinapatikana kirahis tofauti na Sasa basi ndio matokeo ya umasikini wa leo kwenye ukoo wenu.
Nimejaribu kuchunguza Sana familia nyingi za zamani ambazo zilikua na unafuu yaani wazee ambao walijiongeza na kusomesha hata watoto wawili saizi koo zao hazina njaa Wala shida maana wanapeana tu connection.
Zamani Kuna wazee walikuwa wajanja walinunua ardhi kwa Bei ya kutupwa Sana hasa kwa wale ambao hawakuwa na subira.
Kuna wazee waliuza mifugo na kusomesha watoto wao huku wazee wengine wakitumia hiyo mifugo kuoa wanawake wengi na ndio hao wamesababisha had leo Koo zao ziwe maskini.
Narudia Tena umasikini wa sisi watanzania tulio wengi umesababishwa na mababu zetu, saizi mtu unakuta huna hata pakuanzia, mtu unasoma lakini Nani wakukushika mkono? Nani msomi kwenu ambae yupo kitengo? Nani kwenu walau Ni mpambanaji tokea kitambo kwamba saizi Ana jina au alishatengeneza jina?
Umasikini huanzia hapo Sasa kila unapogusa ni pachungu ndipo mawazo ya kuhusi una mikosi huja Sasa kumbe huna mikosi Bala huna connection .
Ha ha ha ...Na nitaoa mwanao ili nikukomeshe..
Umefanya uchambuzi wenye mantiki kubwa.Hizi propaganda nishazikataa kitambo Sana. Kuna watu wanaloweka rungu kila siku na pesa wanayo tu.
Vipi akina uwoya kwamba wao wanakutana na wanaume wasio na mikosi maishani mwao?
Unaambiwa mengi alikuwa mzee wa totozi ile mbaya mbona Mali zake zipo hadi leo? Mudy je kwamba haoloweki?
Rickrosee msanii mmarekani amepiga hadi akina mobeto mbona anazidi kutusua tu. Hii Mimi sikubaliani nayo lete nyingine .
Umaskin Mara nyingi Ni background tu. Kama mababu zako walikuwa wavivu enzi hizo ambapo Mali zilikuwa zinapatikana kirahis tofauti na Sasa basi ndio matokeo ya umasikini wa leo kwenye ukoo wenu.
Nimejaribu kuchunguza Sana familia nyingi za zamani ambazo zilikua na unafuu yaani wazee ambao walijiongeza na kusomesha hata watoto wawili saizi koo zao hazina njaa Wala shida maana wanapeana tu connection.
Zamani Kuna wazee walikuwa wajanja walinunua ardhi kwa Bei ya kutupwa Sana hasa kwa wale ambao hawakuwa na subira.
Kuna wazee waliuza mifugo na kusomesha watoto wao huku wazee wengine wakitumia hiyo mifugo kuoa wanawake wengi na ndio hao wamesababisha had leo Koo zao ziwe maskini.
Narudia Tena umasikini wa sisi watanzania tulio wengi umesababishwa na mababu zetu, saizi mtu unakuta huna hata pakuanzia, mtu unasoma lakini Nani wakukushika mkono? Nani msomi kwenu ambae yupo kitengo? Nani kwenu walau Ni mpambanaji tokea kitambo kwamba saizi Ana jina au alishatengeneza jina?
Umasikini huanzia hapo Sasa kila unapogusa ni pachungu ndipo mawazo ya kuhusi una mikosi huja Sasa kumbe huna mikosi Bala huna connection .
Babu yangu alikuwa karani enzi hizo (kwa mujibu wa baba) ila baba alirithi shamba moja tu. Kuna siku zamani huko nilimuuliza bro , inakuwaje babu alikuwa na shamba moja wakati alikuwa karani? Bro akanijibu dogo babu alikuwa mizinguo. Wabibi kibao shamba moja duh wababu wengine walizinguaHizi propaganda nishazikataa kitambo Sana. Kuna watu wanaloweka rungu kila siku na pesa wanayo tu.
Vipi akina uwoya kwamba wao wanakutana na wanaume wasio na mikosi maishani mwao?
Unaambiwa mengi alikuwa mzee wa totozi ile mbaya mbona Mali zake zipo hadi leo? Mudy je kwamba haoloweki?
Rickrosee msanii mmarekani amepiga hadi akina mobeto mbona anazidi kutusua tu. Hii Mimi sikubaliani nayo lete nyingine .
Umaskin Mara nyingi Ni background tu. Kama mababu zako walikuwa wavivu enzi hizo ambapo Mali zilikuwa zinapatikana kirahis tofauti na Sasa basi ndio matokeo ya umasikini wa leo kwenye ukoo wenu.
Nimejaribu kuchunguza Sana familia nyingi za zamani ambazo zilikua na unafuu yaani wazee ambao walijiongeza na kusomesha hata watoto wawili saizi koo zao hazina njaa Wala shida maana wanapeana tu connection.
Zamani Kuna wazee walikuwa wajanja walinunua ardhi kwa Bei ya kutupwa Sana hasa kwa wale ambao hawakuwa na subira.
Kuna wazee waliuza mifugo na kusomesha watoto wao huku wazee wengine wakitumia hiyo mifugo kuoa wanawake wengi na ndio hao wamesababisha had leo Koo zao ziwe maskini.
Narudia Tena umasikini wa sisi watanzania tulio wengi umesababishwa na mababu zetu, saizi mtu unakuta huna hata pakuanzia, mtu unasoma lakini Nani wakukushika mkono? Nani msomi kwenu ambae yupo kitengo? Nani kwenu walau Ni mpambanaji tokea kitambo kwamba saizi Ana jina au alishatengeneza jina?
Umasikini huanzia hapo Sasa kila unapogusa ni pachungu ndipo mawazo ya kuhusi una mikosi huja Sasa kumbe huna mikosi Bala huna connection .
Ulimwengu huu wa teknolojia bado unawaza upuuzi?Tendo la ngono linabeba bahati, mikosi na hata laana za watu unaolala nao usipokuwa makini unaumia.
“Kuna mwanamke/Mwanaume ukilala naye bahati zinakutembelea na Kuna mwingine, utajuta”
“Kuna watu wana laana za ukoo ukilala nae na wewe unazibeba mikosi inaanza”
“Kabla hujalifanya tafakari unafanya na nani, kwa ajili ya nini, matokeo yake ni yepi”
“Tena sana na ndio maana unakuta wale wenye wanawake/wanaume 9 mpaka 11 na kuendelea ukiwachunguza vizuri akili zao huwa lesi muda wote.”
Umemaliza kila kitu mkuu. Na haya mambo ya ajabu ajabu bado yapo huku kwetu tu. Kwa wazungu huko hakuna anayewaza na kuchambua mambo katika mtizamo finyu na potofu kama huu. Na yote haya ni sababu tu ya umasikini wetu. Watu wanatafuta kila sababu ya ku-justify umasikini wao. Ndo maana umasikini na ushirikina daima ni chanda na pete. Hata sijui tutajikomboa lini jamani. Sad!Hizi propaganda nishazikataa kitambo Sana. Kuna watu wanaloweka rungu kila siku na pesa wanayo tu.
Vipi akina uwoya kwamba wao wanakutana na wanaume wasio na mikosi maishani mwao?
Unaambiwa mengi alikuwa mzee wa totozi ile mbaya mbona Mali zake zipo hadi leo? Mudy je kwamba haoloweki?
Rickrosee msanii mmarekani amepiga hadi akina mobeto mbona anazidi kutusua tu. Hii Mimi sikubaliani nayo lete nyingine .
Umaskin Mara nyingi Ni background tu. Kama mababu zako walikuwa wavivu enzi hizo ambapo Mali zilikuwa zinapatikana kirahis tofauti na Sasa basi ndio matokeo ya umasikini wa leo kwenye ukoo wenu.
Nimejaribu kuchunguza Sana familia nyingi za zamani ambazo zilikua na unafuu yaani wazee ambao walijiongeza na kusomesha hata watoto wawili saizi koo zao hazina njaa Wala shida maana wanapeana tu connection.
Zamani Kuna wazee walikuwa wajanja walinunua ardhi kwa Bei ya kutupwa Sana hasa kwa wale ambao hawakuwa na subira.
Kuna wazee waliuza mifugo na kusomesha watoto wao huku wazee wengine wakitumia hiyo mifugo kuoa wanawake wengi na ndio hao wamesababisha had leo Koo zao ziwe maskini.
Narudia Tena umasikini wa sisi watanzania tulio wengi umesababishwa na mababu zetu, saizi mtu unakuta huna hata pakuanzia, mtu unasoma lakini Nani wakukushika mkono? Nani msomi kwenu ambae yupo kitengo? Nani kwenu walau Ni mpambanaji tokea kitambo kwamba saizi Ana jina au alishatengeneza jina?
Umasikini huanzia hapo Sasa kila unapogusa ni pachungu ndipo mawazo ya kuhusi una mikosi huja Sasa kumbe huna mikosi Bala huna connection .
Umemaliza kila kitu mkuu. Na haya mambo ya ajabu ajabu bado yapo huku kwetu tu. Kwa wazungu huko hakuna anayewaza na kuchambua mambo katika mtizamo finyu na potofu kama huu. Na yote haya ni sababu tu ya umasikini wetu. Watu wanatafuta kila sababu ya ku-justify umasikini wao. Ndo maana umasikini na ushirikina daima ni chanda na pete. Hata sijui tutajikomboa lini jamani. Sad!
We uko wapi yaliyomkuta mfadhili wake mkubwa hauyaoniMbona akina Uwoya hawaoneshi dalili za mikosi
Hamna uongo uliozungumzwa hapa hakika
Mungu atusaidie sana
Hizi propaganda nishazikataa kitambo Sana. Kuna watu wanaloweka rungu kila siku na pesa wanayo tu.
Vipi akina uwoya kwamba wao wanakutana na wanaume wasio na mikosi maishani mwao?
Unaambiwa mengi alikuwa mzee wa totozi ile mbaya mbona Mali zake zipo hadi leo? Mudy je kwamba haoloweki?
Rickrosee msanii mmarekani amepiga hadi akina mobeto mbona anazidi kutusua tu. Hii Mimi sikubaliani nayo lete nyingine .
Umaskin Mara nyingi Ni background tu. Kama mababu zako walikuwa wavivu enzi hizo ambapo Mali zilikuwa zinapatikana kirahis tofauti na Sasa basi ndio matokeo ya umasikini wa leo kwenye ukoo wenu.
Nimejaribu kuchunguza Sana familia nyingi za zamani ambazo zilikua na unafuu yaani wazee ambao walijiongeza na kusomesha hata watoto wawili saizi koo zao hazina njaa Wala shida maana wanapeana tu connection.
Zamani Kuna wazee walikuwa wajanja walinunua ardhi kwa Bei ya kutupwa Sana hasa kwa wale ambao hawakuwa na subira.
Kuna wazee waliuza mifugo na kusomesha watoto wao huku wazee wengine wakitumia hiyo mifugo kuoa wanawake wengi na ndio hao wamesababisha had leo Koo zao ziwe maskini.
Narudia Tena umasikini wa sisi watanzania tulio wengi umesababishwa na mababu zetu, saizi mtu unakuta huna hata pakuanzia, mtu unasoma lakini Nani wakukushika mkono? Nani msomi kwenu ambae yupo kitengo? Nani kwenu walau Ni mpambanaji tokea kitambo kwamba saizi Ana jina au alishatengeneza jina?
Umasikini huanzia hapo Sasa kila unapogusa ni pachungu ndipo mawazo ya kuhusi una mikosi huja Sasa kumbe huna mikosi Bala huna connection .
Mikosi inapimwaje kama haiwezi kususisha dhiki?Mikosi sio umasikini pekee.Ni mtambuka.
Kuwa na pesa hakumaanishi huna mikosi.