Tendo la Ngono linabeba bahati, mikosi na hata laana za watu

Hizi propaganda nishazikataa kitambo Sana. Kuna watu wanaloweka rungu kila siku na pesa wanayo tu.
Vipi akina uwoya kwamba wao wanakutana na wanaume wasio na mikosi maishani mwao?

Unaambiwa mengi alikuwa mzee wa totozi ile mbaya mbona Mali zake zipo hadi leo? Mudy je kwamba haoloweki?
Rickrosee msanii mmarekani amepiga hadi akina mobeto mbona anazidi kutusua tu. Hii Mimi sikubaliani nayo lete nyingine .

Umaskin Mara nyingi Ni background tu. Kama mababu zako walikuwa wavivu enzi hizo ambapo Mali zilikuwa zinapatikana kirahis tofauti na Sasa basi ndio matokeo ya umasikini wa leo kwenye ukoo wenu.

Nimejaribu kuchunguza Sana familia nyingi za zamani ambazo zilikua na unafuu yaani wazee ambao walijiongeza na kusomesha hata watoto wawili saizi koo zao hazina njaa Wala shida maana wanapeana tu connection.

Zamani Kuna wazee walikuwa wajanja walinunua ardhi kwa Bei ya kutupwa Sana hasa kwa wale ambao hawakuwa na subira.

Kuna wazee waliuza mifugo na kusomesha watoto wao huku wazee wengine wakitumia hiyo mifugo kuoa wanawake wengi na ndio hao wamesababisha had leo Koo zao ziwe maskini.

Narudia Tena umasikini wa sisi watanzania tulio wengi umesababishwa na mababu zetu, saizi mtu unakuta huna hata pakuanzia, mtu unasoma lakini Nani wakukushika mkono? Nani msomi kwenu ambae yupo kitengo? Nani kwenu walau Ni mpambanaji tokea kitambo kwamba saizi Ana jina au alishatengeneza jina?

Umasikini huanzia hapo Sasa kila unapogusa ni pachungu ndipo mawazo ya kuhusi una mikosi huja Sasa kumbe huna mikosi Bala huna connection .
Kuwa na pesa sio baraka mkuu,(usichokijua ni sawa na usiku wa giza),kuna watu wana hizo pesa na hawana raha na amani kabisa,anafikia mahali anatamani hata asingekuwa nazo,unaweza kuwa na pesa na bado ukawa unateseka na laana,mikosi na mabalaa chungu nzima.Aliyenzisha uzi kaongea kifupi sana lakini ukifuatilia alichoongea kiroho yuko sahihi sana...
 
Hizi propaganda nishazikataa kitambo Sana. Kuna watu wanaloweka rungu kila siku na pesa wanayo tu.
Vipi akina uwoya kwamba wao wanakutana na wanaume wasio na mikosi maishani mwao?

Unaambiwa mengi alikuwa mzee wa totozi ile mbaya mbona Mali zake zipo hadi leo? Mudy je kwamba haoloweki?
Rickrosee msanii mmarekani amepiga hadi akina mobeto mbona anazidi kutusua tu. Hii Mimi sikubaliani nayo lete nyingine .

Umaskin Mara nyingi Ni background tu. Kama mababu zako walikuwa wavivu enzi hizo ambapo Mali zilikuwa zinapatikana kirahis tofauti na Sasa basi ndio matokeo ya umasikini wa leo kwenye ukoo wenu.

Nimejaribu kuchunguza Sana familia nyingi za zamani ambazo zilikua na unafuu yaani wazee ambao walijiongeza na kusomesha hata watoto wawili saizi koo zao hazina njaa Wala shida maana wanapeana tu connection.

Zamani Kuna wazee walikuwa wajanja walinunua ardhi kwa Bei ya kutupwa Sana hasa kwa wale ambao hawakuwa na subira.

Kuna wazee waliuza mifugo na kusomesha watoto wao huku wazee wengine wakitumia hiyo mifugo kuoa wanawake wengi na ndio hao wamesababisha had leo Koo zao ziwe maskini.

Narudia Tena umasikini wa sisi watanzania tulio wengi umesababishwa na mababu zetu, saizi mtu unakuta huna hata pakuanzia, mtu unasoma lakini Nani wakukushika mkono? Nani msomi kwenu ambae yupo kitengo? Nani kwenu walau Ni mpambanaji tokea kitambo kwamba saizi Ana jina au alishatengeneza jina?

Umasikini huanzia hapo Sasa kila unapogusa ni pachungu ndipo mawazo ya kuhusi una mikosi huja Sasa kumbe huna mikosi Bala huna connection .
Umefanya uchambuzi wenye mantiki kubwa.

Kongole mkuu
 
Hizi propaganda nishazikataa kitambo Sana. Kuna watu wanaloweka rungu kila siku na pesa wanayo tu.
Vipi akina uwoya kwamba wao wanakutana na wanaume wasio na mikosi maishani mwao?

Unaambiwa mengi alikuwa mzee wa totozi ile mbaya mbona Mali zake zipo hadi leo? Mudy je kwamba haoloweki?
Rickrosee msanii mmarekani amepiga hadi akina mobeto mbona anazidi kutusua tu. Hii Mimi sikubaliani nayo lete nyingine .

Umaskin Mara nyingi Ni background tu. Kama mababu zako walikuwa wavivu enzi hizo ambapo Mali zilikuwa zinapatikana kirahis tofauti na Sasa basi ndio matokeo ya umasikini wa leo kwenye ukoo wenu.

Nimejaribu kuchunguza Sana familia nyingi za zamani ambazo zilikua na unafuu yaani wazee ambao walijiongeza na kusomesha hata watoto wawili saizi koo zao hazina njaa Wala shida maana wanapeana tu connection.

Zamani Kuna wazee walikuwa wajanja walinunua ardhi kwa Bei ya kutupwa Sana hasa kwa wale ambao hawakuwa na subira.

Kuna wazee waliuza mifugo na kusomesha watoto wao huku wazee wengine wakitumia hiyo mifugo kuoa wanawake wengi na ndio hao wamesababisha had leo Koo zao ziwe maskini.

Narudia Tena umasikini wa sisi watanzania tulio wengi umesababishwa na mababu zetu, saizi mtu unakuta huna hata pakuanzia, mtu unasoma lakini Nani wakukushika mkono? Nani msomi kwenu ambae yupo kitengo? Nani kwenu walau Ni mpambanaji tokea kitambo kwamba saizi Ana jina au alishatengeneza jina?

Umasikini huanzia hapo Sasa kila unapogusa ni pachungu ndipo mawazo ya kuhusi una mikosi huja Sasa kumbe huna mikosi Bala huna connection .
Babu yangu alikuwa karani enzi hizo (kwa mujibu wa baba) ila baba alirithi shamba moja tu. Kuna siku zamani huko nilimuuliza bro , inakuwaje babu alikuwa na shamba moja wakati alikuwa karani? Bro akanijibu dogo babu alikuwa mizinguo. Wabibi kibao shamba moja duh wababu wengine walizingua
 
Tendo la ngono linabeba bahati, mikosi na hata laana za watu unaolala nao usipokuwa makini unaumia.

“Kuna mwanamke/Mwanaume ukilala naye bahati zinakutembelea na Kuna mwingine, utajuta”
“Kuna watu wana laana za ukoo ukilala nae na wewe unazibeba mikosi inaanza”
“Kabla hujalifanya tafakari unafanya na nani, kwa ajili ya nini, matokeo yake ni yepi”

“Tena sana na ndio maana unakuta wale wenye wanawake/wanaume 9 mpaka 11 na kuendelea ukiwachunguza vizuri akili zao huwa lesi muda wote.”
Ulimwengu huu wa teknolojia bado unawaza upuuzi?
 
Kuna limoja jamaa yangu kalipitia kesho yake ofsin kasimamishwa kazi mara kuumwa umwa hadi jamaa alienda kumtukana na limwanamke lenyewe mpaka sasa halijaolewa na lin kazi nzuri tuu
 
Hizi propaganda nishazikataa kitambo Sana. Kuna watu wanaloweka rungu kila siku na pesa wanayo tu.
Vipi akina uwoya kwamba wao wanakutana na wanaume wasio na mikosi maishani mwao?

Unaambiwa mengi alikuwa mzee wa totozi ile mbaya mbona Mali zake zipo hadi leo? Mudy je kwamba haoloweki?
Rickrosee msanii mmarekani amepiga hadi akina mobeto mbona anazidi kutusua tu. Hii Mimi sikubaliani nayo lete nyingine .

Umaskin Mara nyingi Ni background tu. Kama mababu zako walikuwa wavivu enzi hizo ambapo Mali zilikuwa zinapatikana kirahis tofauti na Sasa basi ndio matokeo ya umasikini wa leo kwenye ukoo wenu.

Nimejaribu kuchunguza Sana familia nyingi za zamani ambazo zilikua na unafuu yaani wazee ambao walijiongeza na kusomesha hata watoto wawili saizi koo zao hazina njaa Wala shida maana wanapeana tu connection.

Zamani Kuna wazee walikuwa wajanja walinunua ardhi kwa Bei ya kutupwa Sana hasa kwa wale ambao hawakuwa na subira.

Kuna wazee waliuza mifugo na kusomesha watoto wao huku wazee wengine wakitumia hiyo mifugo kuoa wanawake wengi na ndio hao wamesababisha had leo Koo zao ziwe maskini.

Narudia Tena umasikini wa sisi watanzania tulio wengi umesababishwa na mababu zetu, saizi mtu unakuta huna hata pakuanzia, mtu unasoma lakini Nani wakukushika mkono? Nani msomi kwenu ambae yupo kitengo? Nani kwenu walau Ni mpambanaji tokea kitambo kwamba saizi Ana jina au alishatengeneza jina?

Umasikini huanzia hapo Sasa kila unapogusa ni pachungu ndipo mawazo ya kuhusi una mikosi huja Sasa kumbe huna mikosi Bala huna connection .
Umemaliza kila kitu mkuu. Na haya mambo ya ajabu ajabu bado yapo huku kwetu tu. Kwa wazungu huko hakuna anayewaza na kuchambua mambo katika mtizamo finyu na potofu kama huu. Na yote haya ni sababu tu ya umasikini wetu. Watu wanatafuta kila sababu ya ku-justify umasikini wao. Ndo maana umasikini na ushirikina daima ni chanda na pete. Hata sijui tutajikomboa lini jamani. Sad!
 
Umemaliza kila kitu mkuu. Na haya mambo ya ajabu ajabu bado yapo huku kwetu tu. Kwa wazungu huko hakuna anayewaza na kuchambua mambo katika mtizamo finyu na potofu kama huu. Na yote haya ni sababu tu ya umasikini wetu. Watu wanatafuta kila sababu ya ku-justify umasikini wao. Ndo maana umasikini na ushirikina daima ni chanda na pete. Hata sijui tutajikomboa lini jamani. Sad!

Mmh
 
Hizi propaganda nishazikataa kitambo Sana. Kuna watu wanaloweka rungu kila siku na pesa wanayo tu.
Vipi akina uwoya kwamba wao wanakutana na wanaume wasio na mikosi maishani mwao?

Unaambiwa mengi alikuwa mzee wa totozi ile mbaya mbona Mali zake zipo hadi leo? Mudy je kwamba haoloweki?
Rickrosee msanii mmarekani amepiga hadi akina mobeto mbona anazidi kutusua tu. Hii Mimi sikubaliani nayo lete nyingine .

Umaskin Mara nyingi Ni background tu. Kama mababu zako walikuwa wavivu enzi hizo ambapo Mali zilikuwa zinapatikana kirahis tofauti na Sasa basi ndio matokeo ya umasikini wa leo kwenye ukoo wenu.

Nimejaribu kuchunguza Sana familia nyingi za zamani ambazo zilikua na unafuu yaani wazee ambao walijiongeza na kusomesha hata watoto wawili saizi koo zao hazina njaa Wala shida maana wanapeana tu connection.

Zamani Kuna wazee walikuwa wajanja walinunua ardhi kwa Bei ya kutupwa Sana hasa kwa wale ambao hawakuwa na subira.

Kuna wazee waliuza mifugo na kusomesha watoto wao huku wazee wengine wakitumia hiyo mifugo kuoa wanawake wengi na ndio hao wamesababisha had leo Koo zao ziwe maskini.

Narudia Tena umasikini wa sisi watanzania tulio wengi umesababishwa na mababu zetu, saizi mtu unakuta huna hata pakuanzia, mtu unasoma lakini Nani wakukushika mkono? Nani msomi kwenu ambae yupo kitengo? Nani kwenu walau Ni mpambanaji tokea kitambo kwamba saizi Ana jina au alishatengeneza jina?

Umasikini huanzia hapo Sasa kila unapogusa ni pachungu ndipo mawazo ya kuhusi una mikosi huja Sasa kumbe huna mikosi Bala huna connection .

Mikosi sio umasikini pekee.Ni mtambuka.
Kuwa na pesa hakumaanishi huna mikosi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom