Wazo ni zur tu, lakini tatizo ni wasimamizi wa hiyo ilani na sera zake, utawapata wapi /chama kipi, watu wenye uadilifu, wanaochukia rushwa, wasiopenda kujilimbikizia mali, watenda haki, wasiopenda kutembelea V8, wasiopenda kumiliki magorofa yao binafsi, wasiopenda mikaba yenye kuwanafaisha...