kumbe na wewe una visasi?,nilikua nakuona uko mwema sana,kumbe?
hahaa zile za kusema "yaani umefanyia hivi nakwambia tutaona labda sio mimi au nife ila kama niko hai nakwambia tutaona na kiapo huku
jamaa akiunganisha matukio anahisi tayari[/QUOTE ]
Aiseee umeongea kwa uzoefu ...........