Mhadhiri wa UDSM Bashiru Ally na BBC

Mhadhiri wa UDSM Bashiru Ally na BBC

Amini usiamini, makanisa yameua nchi hii kwa kutuletea Division one za kanisa ambazo zimewafanya weneyenazo kutotumia akili kabisaaaa! Sasa kama ww unamtetea Israel na mwenzako anawatetea hao "waislam" wa iraq, then tofauti zenu nyie nini?

Mipangomingi;
Tatizo lako weye ni mipangomingi mno unayo ila hata mmoja haukamiliki. Huoni umetoka nje ya mada? Division one ya Tanzania na vita ya Iraq wapi na wapi??? Huyo aliyebuni Divisio V ni Mkristo??? Mbona mnavuta bange zenyu mchana jamani tena barabarani?? Mnajitia upofu msonao??
Weye waona hao magaidi wa Hisibullah wanaowatumia watu ka ngao yao ya kurushia mirocket hiyo ikawaue wanadam wenzao huko Israel, kwako weye ni sahihi kabisa kabisa kwa kuwa sio waislamu wanaokufa??? Kama Tz tunao wawili watatu ka weye, basi JK ana kazi kutawala.
Nakuomba ukienda Masjid kawaombe hao wenzako ka weye kuwa, kama ni huruma, magaidi hao waende jangwani, wakakae huko na mirocket yao, wayafyatulie huko huko wala hakuna hata mtoto mmoja tu wao atakufa. Israel wakirusha rocket lao 1 tu likakosea njia na kuangukia shule miye nitakuunga mkono tuandamane sio mpaka viwanja vya Jangwani tu bali mpaka huko huko jangwa la Israel kuwapinga. Lakini, kama bado hao magaidi weye unaowaita mashujaa wataendelea kuwatumia watoto wao ka ngao mye nawaita Waoga wakubwa na nasema Wanastahili kipigo cha mbwa mwizi. Full stop.
 
Palestina na Iraq wapi na wapi? Ukilaumu suala la Palestina ni sawa lakini si haki kucompare!!! Kule middle east mbona both sides zina makosa? Yale mahandaki hukuyaona? Na hizo rockets je? Israel also is to blame. Numerous children and innocent civilians have been butchered. Lakini Hamas ndio wanaanza na Israel wanaretaliate vibaya. Both side are to blame in middle east!!! Sasa Iraq ni hao magaidi tu wanatesa minorities. Sasa wameteka wasichana kibao wa kabila la Yazidi! Ni haki hii? Hawafai kabisa na huyo mhadhiri hakujibu maswali kalalamika tu. I think he was not objective.

hivi nyie watu mmerogwa? russia anataka kuchukua kipande cha ardhi ya ukraine dunia yote imepiga kelele na kutaka kuiwekea vikwazo urusi lakina israel kuchukua eneo la palestina kwenu sio tatizo kabisa
 
Mipangomingi;
Tatizo lako weye ni mipangomingi mno unayo ila hata mmoja haukamiliki. Huoni umetoka nje ya mada? Division one ya Tanzania na vita ya Iraq wapi na wapi??? Huyo aliyebuni Divisio V ni Mkristo??? Mbona mnavuta bange zenyu mchana jamani tena barabarani?? Mnajitia upofu msonao??
Weye waona hao magaidi wa Hisibullah wanaowatumia watu ka ngao yao ya kurushia mirocket hiyo ikawaue wanadam wenzao huko Israel, kwako weye ni sahihi kabisa kabisa kwa kuwa sio waislamu wanaokufa??? Kama Tz tunao wawili watatu ka weye, basi JK ana kazi kutawala.
Nakuomba ukienda Masjid kawaombe hao wenzako ka weye kuwa, kama ni huruma, magaidi hao waende jangwani, wakakae huko na mirocket yao, wayafyatulie huko huko wala hakuna hata mtoto mmoja tu wao atakufa. Israel wakirusha rocket lao 1 tu likakosea njia na kuangukia shule miye nitakuunga mkono tuandamane sio mpaka viwanja vya Jangwani tu bali mpaka huko huko jangwa la Israel kuwapinga. Lakini, kama bado hao magaidi weye unaowaita mashujaa wataendelea kuwatumia watoto wao ka ngao mye nawaita Waoga wakubwa na nasema Wanastahili kipigo cha mbwa mwizi. Full stop.

nani anaogopa kipigo cha mbwa mwizi bwana!!! yesu mwenyewe alipigwa kipigo cha mbwa mwizi na hao waisrael sembuse binadamu? mbina hamzungumzii israel kuchukua eneo la palestina?
 
aKama ungaliwasikiliza vizuri Waisrael nadhani ungebadili mtazamo wako. Nilivyowasikiliza ni kuwa Wapalestina wanafanya watoto, wanawake na raia kuwa ngao yao (Shield) katika sehemu walizoweka silaha zao. Walionyesha silaha zilizopatikana katika shule ya UN. Wapestna kama wangewapenda watoto wao wasingewaweka sehemu hatarishi. Nia ya Israel ilikuwa ni kuharibu silaha na miundo mbinu inayotumika na Hamas kuwashambulia waisrael. Kama ningalikuwa mimi nisingaliwaweka watoto katika mazingira hatarishi ili kupata huruma ya walimwengu
Palestina na Iraq wapi na wapi? Ukilaumu suala la Palestina ni sawa lakini si haki kucompare!!! Kule middle east mbona both sides zina makosa? Yale mahandaki hukuyaona? Na hizo rockets je? Israel also is to blame. Numerous children and innocent civilians have been butchered. Lakini Hamas ndio wanaanza na Israel wanaretaliate vibaya. Both side are to blame in middle east!!! Sasa Iraq ni hao magaidi tu wanatesa minorities. Sasa wameteka wasichana kibao wa kabila la Yazidi! Ni haki hii? Hawafai kabisa na huyo mhadhiri hakujibu maswali kalalamika tu. I think he was not objective.
 
Bashiru kazungumza vizuri tu. Kasema US kuichapa Iraq kuna sababu nyingi na nyingi ni za kihistoria. Ndio maana US hajaenda Palestina wala Syria, ambapo watu wanakufa kila siku ila kaenda Iraq mapema mapema.

namwangalia bashiru alli
sasaivi mhadhiri wa udsm akihojiwa na kassim kaira wa bbc kutoa maoni
yake kuhusu marekani kuingilia kijeshi kuwapiga wanamgambo wa kiislam
ISIS wa iraq wanaowasilimisha wakristo na kuwalipisha kodo pamoja na
kuwafukuzia jangwani kusikokuwa na maji. yeye bashiru amepiga hatua hiyo
ya marekani kuingilia kati akitoa sababu kuwa marekani mbona
haijaingilia maeneo mengine kwanini iwe tu iraq...anaonekana wazi kabisa
anasapoti wanamgambo wa kiislam kwa kile wanachokifanya iraq kwa
wakristo kuwalipisha kodi na kuwaua na kuwafukuzia jangwani. hivi kumbe
hata kama ukisoma hadi uwe na phd kama ulizaliwa na udini moyoni fikra
zako haziwezi kubadilika? unajua hata hapa tz kuna watu wanawasapoti
kile kinachofanywa na wapiganaji wa kiislam iraq? ajabu aisee.
 
si busara kutetea chama chako badala ya kutetea wanyonge; vyama hivi vya udini yaani UKRISTO na UISLAM ni balaa tu. Wakati boss wao yaani MUNGU amekataza kuua,kuzini,uonevu n.k . Sijui kutetea chama chako kwa njia ambayo boss hataki inasaidia nini.
 
Watu hawajui kua Marekani haikua na nia njema na raia wa Iraq.Kabla ya kuvamia na Kumuua Saddam Hussein nchi ilikua na amani watu waliishi Kwa furaha.Mi najua kipindi hicho cha vita waliuawa wote Waislam na Wakristo kisha zikapandikizwa chuki baina yao ambazo tunashuhudia leo.
 
Alichofanza Bashiru Ally ni kueka jicho la tatu kuwa : Kwa nini Marekani itizame ati mateso pale Iraq yafanzwayo na ISIS ina maana wale wanaouwawa pale Palestina si Biniyadamu....!?

Samahani tatizo liwapi juu ya mtazamo wa msomi wetu Bwana Bashiru Ally...!?
 
Sijawahi kufurahishwa na michango ya huyu jamaa.Tanzania tuna tatizo kubwa katika nyanja ya uchambuzi.Mihemko ndo inatuongoza kuliko kuzingatia uhalisia.

Mkuu kwani lazima michango imfurahishe mtu......!?

Wakosea sana kauli yako hiyo, nawe twaanza tia mashaka na uendezi wako wa mambo.
 
Muache mwl wangu.anachosema kina mantiki sio kwamba anaunga mkono ugaidi.kwanini Marekani awakusaidia Naigeria Bhoko haram inapo fanya mauaji.Maana najua awana uwezo wa kuizuia Israel. Kwanini Usa Wanachagua mbona awakwenda central Africa?

kwahio kama wamefanya kosa moja ndio waendelee kufanya mengine ? Kwani wenyewe ndio wana mandate ya kuhakikisha wanabana kila mtu waache wawabane wanaotaka (so long as ni waharifu) hao wengine waliobaki wanaweza kubanwa na wengine hapo ingebidi awasifu kwa kuwabana hao magaidi ila angewaomba wasiachie hapo waende na pengine sio kuwaambia sababu hawakuwabana wale na hawa wasiwabamize
 
Marekani imesaidia Nigeria kwa kutoa Drones na intelligence information ila zaidi kwa Nigeria British ndo amekuwa involved sana, kwa Central Africa Republic sio kwamba anashindwa kwenda ila hii nchi ni sehemu ya Francophonia (France influenced country) ikimaanisha Ufaransa ndo ina interest zaidi katika Central Africa so France is responsible and not him (USA) ndo maana hata akwenda Mali wakti inayumbishwa na wale waasi wa kaskazini ila mFransa ndo alienda huko na yuko Central Africa.

Turudi kwenye Iraq, jamaa anaenda huko sababu kuu naweza kusema mbili:

1. Aliwahi kutoa majeshi mapema Iraq au kwa lugha nyingine aliyatoa majeshi kisiasa na utakubaliana na mm kuwa wakati wa kampeni za uchaguzi wa Marekani, Barack Obama (Democrat) kati ya ahadi zake nyingi aliahidi kutoa majeshi ya Marekani huko Iraq na Afghanistan akiingia madarakani na ukiangalia batch ya mwisho aliiondoka nadhani at the end of 2013. Lakini bila kuwa na uhakika au maandalizi ya kutosha ya kukabidhi nchi kwa wazawa Marekani ilitoa majeshi yake yote Iraq huku Jeshi la wazalendo likiwa halijaandaliwa vya kutosha kukabiliana na hali halisi ya chokochoko kubwa ikiwa ni pamoja na kuzuka na mgawanyo wa makundi ndani ya nchi. Hatua hii ya kutoa majeshi bila ya kuandaa taasisi imara za usalama ilipingwa vikali na Umoja wa Mataifa na nchi kama Urusi na Uchina sababu eneo hilo sio tulivu na ni kama wanaacha power vacuum ambayo itasababisha fujo na power struggle na kumbuka Iraq ni nchi iliyo meguka kwa misingi ya "imani ndani ya imani moja" na imani tofauti (Shia, Sunni, Kurdi na kiwango kidogo Wakristo). so anachofanya saizi ni kucorrect error yake na nakwambia kama akiingia saizi anaweza asitoke au achelewe kutoka na kukaa kwa muda kidogo ili kuimarisha serikali ya Iraq.
2. Pia tunaweza kuona uwepo wa kuhatarishwa kwa interest zake za kiuchumi na kiusalama hasa kwa makampuni yake yanayo chimba mafuta katika Ghuba (nchi kama Kuwait, Qatar, Jordan na Bahrain) na supply chain yake ya mafuta ikiwa waasi hawa watapata nguvu zaidi na kusogea kusini zaidi na tayari nchi kama Saudia zimeanza kuona Marekani sio tena rafiki wa karibu kwani kwanza waliomba adeal na Iran aka back out kwa kisingizio cha kutumia Diplomacy na wakamwambia aishuhurikie Syria akaishia kutoa vitisho tu! So jamaa anataka kuhakikisha kwao (Allies) kwamba he is still capable of handling the middle east without hesitation and doubts kwao.

Na kwa upande wa Israel na Palestina ni kwamba hawa majamaa (Israel) kitendo wanachofanya ni cha kinyama ambacho pia marekani inahofia kukikemea ikiogopa diplomatic melt down na Tel Aviv sababu ujuwe kuwa Marekani hasa kuanzia muuongo uliopita inatumia zaidi majasusi wa Israel (Mossad) katika pande nyingi za dunia ambazo hawana watu wao kwani it is said Israel has a well organised spy network perhaps more than the US with more military technique requiring little cost but very efficient kwa hapa hasa saizi ambapo Amerika inadeal sana na Iran haitaki kuharibu hii relation alafu kumbuka kuwa kuna Iranian best nuclear scientist walilipuliwa Tehran wakalaumiwa wayahudi so they know that its inhuman for Israel to do so (Bomb Palestine) but they lack enough leverage to call Israel out of it...na hata mm nasema ni against humanity na brutality against very nature of human beings.

Salute mkuu, uchambuzi umetukuka
 
Ungeanza kuhoji umburura wa wasomi wa makanisa wanaomuunga mkono israel kwa mauaji anayoyafanya palestina ndo ningekuona wa maana! alichokusema Bashir ndo ukweli wa mambo na Kasim wa bbc alifanya hivyo makusud ili kuweka waz ukweli dunian wanadamu wote ni sawa hakuna alie na thaman kuliko mwenzie!

nani anaogopa kipigo cha mbwa mwizi bwana!!! yesu mwenyewe alipigwa kipigo cha mbwa mwizi na hao waisrael sembuse binadamu? mbina hamzungumzii israel kuchukua eneo la palestina?

Bashiru kazungumza vizuri tu. Kasema US kuichapa Iraq kuna sababu nyingi na nyingi ni za kihistoria. Ndio maana US hajaenda Palestina wala Syria, ambapo watu wanakufa kila siku ila kaenda Iraq mapema mapema.

Huyo ni alqaeda anajulikana, kwake uislamu ndio taaluma; ukiongezea na upuuzi wa UDASA wachumia tumbo ndio balaa zaidi; kwao kumoja na Dr Bana; hovyoooooo!

Alichofanza Bashiru Ally ni kueka jicho la tatu kuwa : Kwa nini Marekani itizame ati mateso pale Iraq yafanzwayo na ISIS ina maana wale wanaouwawa pale Palestina si Biniyadamu....!?

Samahani tatizo liwapi juu ya mtazamo wa msomi wetu Bwana Bashiru Ally...!?
binafsi mimi niliona ameongea vizuri tu kwamba nia ya wamarekani iraq alikuwa anaona ilikuwa na mashaka ya kwnaini maeneo mengine hajaenda (wala hakutaja gaza labda kam sikumsikia vzr). however ninachoweza kumcriticise ni kwamba, hata kama aliona marekani hawajaenda gaza at least alitakiwa aonyeshe sympathy kwa wale wa iraq ili ionekana hayuko biased, sasa the way alivyoeleweka ni kama aliona afadhali ISIS wanalipiza kisasi kwa yale yanayotokea gaza au labda muda ulikuwa mchache akashindwa kumalizia point yake labda angeongea zaidi ya pale, ila kwa alivyoongea kwa ufupi vile na wakamkatisha, imeonekana wazi yuko biased na haoni ubaya wanaoufanya wale watu wa iraq. kwani humu jf hayupo, si ajisafishe? alitakiwa kulaani mauaji yote, yale ya gaza na yale ya iraq. hakufanya hivyo, labda alikosa muda walimkatisha.
 
Namwangalia Bashiru ally mhadhiri wa UDSM akihojiwa na Kassim Kaira wa BBC kutoa maoni yake kuhusu Marekani kuingilia kijeshi kuwapiga wanamgambo wa kiislam ISIS wa Iraq wanaowasilimisha wakristo na kuwalipisha kodo pamoja na kuwafukuzia jangwani kusikokuwa na maji.

yeye Bashiru amepinga hatua hiyo ya Marekani kuingilia kati akitoa sababu kuwa Marekani mbona haijaingilia maeneo mengine kwanini iwe tu Iraq.

Anaonekana wazi kabisa anasapoti wanamgambo wa kiislam kwa kile wanachokifanya Iraq kwa wakristo kuwalipisha kodi na kuwaua na kuwafukuzia jangwani.

Hivi kumbe hata kama ukisoma hadi uwe na PHD kama ulizaliwa na udini moyoni fikra zako haziwezi kubadilika?

Unajua hata hapa TZ kuna watu wanawasapoti kile kinachofanywa na wapiganaji wa kiislam Iraq?

Ajabu aisee.

Wewe ndio nashangaa umakini wako wakati Israel inakwangua pale gaza na kulipua mabomu hovyo kule gaza hukushangaa hata siku mmoja marekani imeshindwa kulaani achilia mbali kuwasupport wapalestina? Nani mdini kati yako na Bashiru?????
 
Amini usiamini, makanisa yameua nchi hii kwa kutuletea Division one za kanisa ambazo zimewafanya weneyenazo kutotumia akili kabisaaaa! Sasa kama ww unamtetea Israel na mwenzako anawatetea hao "waislam" wa iraq, then tofauti zenu nyie nini?

Wewe ndio 0 IQ kwa kuaminishwa kwenye madrasa kuwa shule za makanisa zinaonesha majibu kwa watoto wao ...mkalalamika Ndalichako aondolewe kwenye baraza la mitihani kwa kuwa anapendelea wanafunzi wa makanisa lakini wapi shule za kanisa bado zinapeta we bado unaendelea kulalamika ...na utaendelea kulalamika kwa kuaminishwa ujinga kwenye madrasa hadi kesho.
 
Watu hawajui kua Marekani haikua na nia njema na raia wa Iraq.Kabla ya kuvamia na Kumuua Saddam Hussein nchi ilikua na amani watu waliishi Kwa furaha.Mi najua kipindi hicho cha vita waliuawa wote Waislam na Wakristo kisha zikapandikizwa chuki baina yao ambazo tunashuhudia leo.

Big up, umetendea haki jina lako, hilo ndo jibu mahsusi mkuu
 
anaamini sio sahihi marekani kupiga isis wanaotaka kusafisha wakristo, wamewaua, wanapora mali zao na kuwafukuzia wakafie jangwani. nimeshangaa, sijui alikuwa anamaanisha nini. kama yupo humu bila shaka atatoa maelezo. hata yule mtangazaji wa bbc kassim kaira pamoja na kwamba ana nundu kwenye kipaji ya kuswali, alionekana wazi kutoridhika na majibu yake kwasababu sicho alichokuwa anategemea kusikia toka kwake, bila shaka alikuwa anategemea bashiru angelaumu walau ku condemn what is happening there, jamaa wala hakujua mtego huo akaingia laini akifikiri anajadili siasa za kibongo na kuimba yale mashairi yake.

Acha kupotosha wewe,alichokisema yeye ni kuwa hadhani kama kutakuwa na impact yoyote huko Iraq kama Marekani ilishindwa kuzipata siraha za maangaizi ilizokuwa inazitafuta je kwa mgogoro itaweza? Ye akawa anasema hakuna pale Marekani alipoenda kutuliza amani na amani ikapatikana akaongeza pia kuwa labda kinachoipieleka huko Marekani ni kimaslahi zaid na si amani pia akasema kwa nini Marekani isiende Gaza ambako kuna vita na kuna watu wasokuwa na hatia wanakufa?

Nami hapo niliimunga mkono wala si mambo ya kidini sema we mtoa mada ndo ulikuwa na itikadi hiyo ya kidini kitu ambacho sikukiona kwa Bashiru,mi nadhani ndugu yangu uache upotoshaji.
 
Tabu ni pale unapopinga udini kwa udini!wakoloni nuksi kweli wamewafanya watu weusi wazione hizi dini ni zao hadi wanatukanana,chukiana na hata kuuana wakat wenyewe wanapiga hela kwa ujinga wetu
 
pumbavu kabisa hawa waamerica watawafanya kitu mbaya acheni ushabiki wakijinga akifa mkristo kelele nyingi akifa mwislam mnashangilia
 
Bashiru alikuwa anapinga tabia ya marekani kuwa na double standards na si lazima uwe na degree utambue hilo

Yaap lakin kwenye hili situation ipo tofauti, wale wakristo sio tishio kwa ISIS. Hawajafanya mashambulio kwa isis, kinachofanyika pale ni isis kuua raia ambao hawawezi kujilinda. Maeneo mengine kuna mapigano, kama israel na gaza wao wanapigana sio mmoja amekaa tu mwingine anasulubu
 
Yaap lakin kwenye hili situation ipo tofauti, wale wakristo sio tishio kwa ISIS. Hawajafanya mashambulio kwa isis, kinachofanyika pale ni isis kuua raia ambao hawawezi kujilinda. Maeneo mengine kuna mapigano, kama israel na gaza wao wanapigana sio mmoja amekaa tu mwingine anasulubu

ukiwa mdini kumbe unakuwa mpofu. Kifo ni kifo tu kwa muslim au yahudi. marekani waache upendeleo waende kule kivu. mogadishu.afrika ya kati na gaza. Tujue kweli wao ni waungwana. Usa ni wapiga dili tu kama wengine
 
Back
Top Bottom