Marekani imesaidia Nigeria kwa kutoa Drones na intelligence information ila zaidi kwa Nigeria British ndo amekuwa involved sana, kwa Central Africa Republic sio kwamba anashindwa kwenda ila hii nchi ni sehemu ya Francophonia (France influenced country) ikimaanisha Ufaransa ndo ina interest zaidi katika Central Africa so France is responsible and not him (USA) ndo maana hata akwenda Mali wakti inayumbishwa na wale waasi wa kaskazini ila mFransa ndo alienda huko na yuko Central Africa.
Turudi kwenye Iraq, jamaa anaenda huko sababu kuu naweza kusema mbili:
1. Aliwahi kutoa majeshi mapema Iraq au kwa lugha nyingine aliyatoa majeshi kisiasa na utakubaliana na mm kuwa wakati wa kampeni za uchaguzi wa Marekani, Barack Obama (Democrat) kati ya ahadi zake nyingi aliahidi kutoa majeshi ya Marekani huko Iraq na Afghanistan akiingia madarakani na ukiangalia batch ya mwisho aliiondoka nadhani at the end of 2013. Lakini bila kuwa na uhakika au maandalizi ya kutosha ya kukabidhi nchi kwa wazawa Marekani ilitoa majeshi yake yote Iraq huku Jeshi la wazalendo likiwa halijaandaliwa vya kutosha kukabiliana na hali halisi ya chokochoko kubwa ikiwa ni pamoja na kuzuka na mgawanyo wa makundi ndani ya nchi. Hatua hii ya kutoa majeshi bila ya kuandaa taasisi imara za usalama ilipingwa vikali na Umoja wa Mataifa na nchi kama Urusi na Uchina sababu eneo hilo sio tulivu na ni kama wanaacha power vacuum ambayo itasababisha fujo na power struggle na kumbuka Iraq ni nchi iliyo meguka kwa misingi ya "imani ndani ya imani moja" na imani tofauti (Shia, Sunni, Kurdi na kiwango kidogo Wakristo). so anachofanya saizi ni kucorrect error yake na nakwambia kama akiingia saizi anaweza asitoke au achelewe kutoka na kukaa kwa muda kidogo ili kuimarisha serikali ya Iraq.
2. Pia tunaweza kuona uwepo wa kuhatarishwa kwa interest zake za kiuchumi na kiusalama hasa kwa makampuni yake yanayo chimba mafuta katika Ghuba (nchi kama Kuwait, Qatar, Jordan na Bahrain) na supply chain yake ya mafuta ikiwa waasi hawa watapata nguvu zaidi na kusogea kusini zaidi na tayari nchi kama Saudia zimeanza kuona Marekani sio tena rafiki wa karibu kwani kwanza waliomba adeal na Iran aka back out kwa kisingizio cha kutumia Diplomacy na wakamwambia aishuhurikie Syria akaishia kutoa vitisho tu! So jamaa anataka kuhakikisha kwao (Allies) kwamba he is still capable of handling the middle east without hesitation and doubts kwao.
Na kwa upande wa Israel na Palestina ni kwamba hawa majamaa (Israel) kitendo wanachofanya ni cha kinyama ambacho pia marekani inahofia kukikemea ikiogopa diplomatic melt down na Tel Aviv sababu ujuwe kuwa Marekani hasa kuanzia muuongo uliopita inatumia zaidi majasusi wa Israel (Mossad) katika pande nyingi za dunia ambazo hawana watu wao kwani it is said Israel has a well organised spy network perhaps more than the US with more military technique requiring little cost but very efficient kwa hapa hasa saizi ambapo Amerika inadeal sana na Iran haitaki kuharibu hii relation alafu kumbuka kuwa kuna Iranian best nuclear scientist walilipuliwa Tehran wakalaumiwa wayahudi so they know that its inhuman for Israel to do so (Bomb Palestine) but they lack enough leverage to call Israel out of it...na hata mm nasema ni against humanity na brutality against very nature of human beings.