Imenigusa sana hii
Alichosema mama kwa Kijana wake wa kiume siku moja kabla ya kufunga ndoa.
Mummy’s man!
Wewe sasa ni mwanaume. Kuanzia kesho utakuwa na mwanamke mwigine wa maisha yako. Mpishi mwingine na mtu mwingine wa kushare nae siri zako, sitakuwa mimi tena.
Mpende mwanamke wako...
Nani kakuambia upumbavu huo ingekuwa kutolewa nywele mwingine anafuatia kufa mimi mke wangu mchaga marayakwanza na mwisho kunyolewa nyweli ni 1999 kwenyemsiba wa dadake hadi leo amna alie danja........ Warimu wakue
Habari wana jamvi
Mm Elimu yangu ni form2 niliishia apo nina Ujuzi mkubwa tu na mambo ya Computer napenda sana kuwa na sever yangu mf. Google mozilla nk. Nilimfata teach mmoja akaniambia unachotakiwa kufanya nikusoma QT miaka 2 dhen nikifalu vizur nikasome chuo kimja kipo Posta kikubwa2 manake...
Nakumbuka kama mwaka jana hv nilililetaga mada ya familia 12 za Illuminati
Naam kwanza ikumbukwe dini hii inaongozwa na shetwain kupitia mkuu wao Lucifer ikumbukwe wa2 hawa mambo yao na malengo yao haya kuanza Leo wala Jana yalinza tangu Yesu Kristo (nabii Issa)hajazaliwa na nia yao kuja...
Nasema haikuwa na tija sababu haikuwa na sababu za msingi na zaulazima ss kupigana zaidi ya kuturudisha nyuma na kutugawa....rejea nyuma tafuta historia ya Nyamagana
Hivi kwanini ukienda kupiga ramli mganga anakuambia umelogwq na wanaume2 au mwanamke 1 ila akutajii majina huwa wana2acha njiavpanda na kuleta hisia mbaya kwa wa2 kwann awakwambii
Natokea kigamboni napata malalamiko ya dereva wa usafiri was uma(daladala) kuwa kila akipita darajani apo awe na abiria au asiwe na abiria analipia elf7 na kwa Siku anaacha so chini ya Laki na Ishirini(120000) bosi wake ndio magari take yote 6 yanapiga ruti iyo na kwasiku anaacha so chini ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.