Kikwete na Lowassa wanafanana sana!

Kikwete na Lowassa wanafanana sana!

UMEMTUKANA LOWASSA weeeeee....


Simtetei JK, but have displine, wala mm sio mshabiki wa JK, but kama walishaharibu waache wajifie huko, WW KAA MBALI, KARMA will pay them back...!! Unawatukana hao wazee ya nn..? JPM nae akimaliza muda wake UTAANZA KUMTUKANA...!! Hujapigwa wee..!!


Nafikiri huwo ushauri ulipaswa umpe Raisi mstaafu Kikwete na rafiki yake wa zamani Lowasa na siyo mimi, kwamba hawana sababu ya kujiteteta wala kuelezea chochote kile bali waache Historia iwahukumu!

Angalia kwa mfano Raisi mstaafu wa KenyaMwai Kibaki ulishasikia wapi anajitetea kwa lolote, au anakwenda kuteteta record yake kwenye vyombo vya habari na kukinzana na Raisi aliyepo? Ukichukulia mambo mabaya sana yametokea chini ya Utawala wake watu karibia 2000 waliuliwa, hata kwa Wazungu ambako tunafikiri/tunajidanganya kuna demokrasia na tunakoiga George Bush siku amemkabidhi Obama Uongozi alipotea na watu waliongea na kuhukumu walivyoweza lkna hakuna siku alianza kutembea kwenye vyombo vya habari kutaka kuprove chochote bali ameacha Historia ihukumu na huwo ndiyo Uongozi!

Sasa Raisi mstaafu Kikwete atajitetea mangapi na mpaka lini? Yeye tayari ameingia kwenye Historia kama Raisi wa IV wa JMTZ na itabakia hivyo milele, hivyo yote yaliyotokea kwenye utawala wake ni sehemu ya Historia na hana deni na yoyote yule na wala hahitaji kujaribu kujitetea kwa yoyote yule, bali Historia ndiyo inapaswa iwe hakimu!
 
UMEMTUKANA LOWASSA weeeeee....

Sasa JK katoka urais, ULIKUWA UNAMSIFIA SANA SANA... Sasa umeshaanza kumtukana na JK...!! Utaanza kumtukana JK weeeee kama ufanyavyo kwa Lowassa...!!

Soon, UTAANZA KUMTUKANA BABA YAKO, wakati laana inakumalizia UTAANZA KUMTUKANA MAMA YAKO MATUSI YA NGUONI NA UCHI WAKE ALIOKUZAA NAO...!! Mmaninaaa weee, hujapigwa na huna adabu, ma.vi ya kuku wee...!! utakufa soon kwa laana...!! Hujapigwa, huna adabu, shit..!!!

Simtetei JK, but have displine, wala mm sio mshabiki wa JK, but kama walishaharibu waache wajifie huko, WW KAA MBALI, KARMA will pay them back...!! Unawatukana hao wazee ya nn..? JPM nae akimaliza muda wake UTAANZA KUMTUKANA...!! Hujapigwa wee..!!

Huna adabu wee...!!
shetan wa mguu mmoja...mwana kujaa mav••i!!!!
 
nimepunguza imani kwa ccm na kwa vijana mfano wa mtoa bandiko.. ni mpuuzi pekee anayeweza kumsema kikwete kwa lolote lile
 
hawa ndio waasisi wa mtandao wa kwenda ikulu pia walikuwa na makubaliano yasio rasmi ya kuachiana madaraka lakini ccm na wazee wa chama baada ya kuona madhara ya hhiyo mitandao waliamua kuingilia kati na kumdhibiti hata staili zao zilikuwa zinafanana kununua waandishi na vyombo vya habari kununua wajumbe wa nec na mkutano mkuu na kulipana fadhila ila sasa taratibu wataondoka kwenye siasa za tanzania watabaki historia tena historia ambayo siyo nzuri
 
Teh teh eeheee
Ngoma inogile...ubuyu umetiwa sukari huu
Ngoja nikusanye mate vzr nianze kuumung'unya kwa raha zoteQUOTE="Jay One, post: 16405548, member: 302487"]UMEMTUKANA LOWASSA weeeeee....

Sasa JK katoka urais, ULIKUWA UNAMSIFIA SANA SANA... Sasa umeshaanza kumtukana na JK...!! Utaanza kumtukana JK weeeee kama ufanyavyo kwa Lowassa...!!

Soon, UTAANZA KUMTUKANA BABA YAKO, wakati laana inakumalizia UTAANZA KUMTUKANA MAMA YAKO MATUSI YA NGUONI NA UCHI WAKE ALIOKUZAA NAO...!! Mmaninaaa weee, hujapigwa na huna adabu, ma.vi ya kuku wee...!! utakufa soon kwa laana...!! Hujapigwa, huna adabu, shit..!!!

Simtetei JK, but have displine, wala mm sio mshabiki wa JK, but kama walishaharibu waache wajifie huko, WW KAA MBALI, KARMA will pay them back...!! Unawatukana hao wazee ya nn..? JPM nae akimaliza muda wake UTAANZA KUMTUKANA...!! Hujapigwa wee..!!

Huna adabu wee...!![/QUOTE]
 
Unamponda JK,Kisa kawatetea Wanafunzi wa UDOM?
Naona Si Mbali JK Ataitwa UKAWA
 
Unamponda JK,Kisa kawatetea Wanafunzi wa UDOM?
Naona Si Mbali JK Ataitwa UKAWA
JK amekosea sana kwa hili inabidi aache Magu afanye yake. What if kutaonekana kuna wanafunzi wasio na vigezo! Ameshakabidhi nchi basi aendelee na maisha yake kuna makosa mengi amefanya watu wameamua kutumia busara tu.
 
Raisi mstaafu Kikwete na Waziri Mkuu wake wa kwanza Lowasa aliyoendolewa kwa kashfa ya wizi wa mali zetu wanafanana sana, labda kuna sababu kwa nini walikuwa marafiki wakubwa!

Ninaposema wanafanana namaanisha kitabia, ukiangalia mambo ya Kikwete na Lowasa yanashabiana sana, wote ni wapenda sifa, wote wanapenda sana kuwa juu wakati wote yaani ni narzissts, wote wanapenda kuonekana kwamba wao ndiyo watu muhimu TZ na kwamba TZ haiwezi kuishi bila ya wao utafikiri Historia ya TZ imeanzia na wao!

Angalia kwa mfano Raisi mstaafu Kikwete haijawahi kutokea ukiondoa labda Nyerere sina uhakika hapa Raisi mstaafu akawa yuko kila mahali kama Raisi mstaafu Kikwete, haupiti mwezi unamsikia mahali, mara kajibu hili, mara kasema lile, utasikia katetea kile nakumbuka wakati Raisi Mwinyi anamkabdhi Raisi Mkapa basi mzee Mwinyi sikumsika tena na ilikuwa ni nadra sana kumsikia vivyo Mkapa alivyomkabidhi Kikwete alitoweka!

Ukija upande wa Lowasa ni vivyo hivyo ingawaje hana cheo chochote kile Upinzani au chadema lkn yeye ndiyo muhimu klk wote na kila afanyalo anataka Dunia nzima ijue, Bunge likianza anaenda Dodoma ni lazima itangazwe hata kama hana cha kufanya huko basi tu ili mradi aonekane yeye ndiye Boss wa chadema, akiwa njiani akasimama kujisaidia lazima apigwe picha tuonyeshwe, haya hivi majuzi kamuibua Balozi wa Ujapani akapigwa picha tukaonyeshwa, rejea alivyotuambia kwamba amepewa tuzo zaidi ya 1000 kwa kazi yake lkn mpaka leo hii sijawahi kumuona akipokea hata tuzo moja, anakwenda mbali zaidi na kutangaza kwamba Amani yetu TanZania yeye ndiye ameishika yaani tafsiri yake ni kwamba nchi yetu yenye miaka zaidi ya 50 tunaishi kwa Amani kwa sababu ya Lowasa na akiamua kesho basi tutaanza kuchinjana kama kuku ni mtu mwenye matatizo tu ya akili ndiyo anaweza kuwa na fikra kama hizi Wazungu wanawaita ,,psychopath"!

Na mambo mengine mengi ambayo yananifanya niulize hawa watu waliachania wapi? Mbona wanafanana sana? Na chini ya hawa watu nchi yetu ilikuwa ,,on Highway to Hell" kama wimbo mmoja usemavyo!


c4.jpg

Hivi Kati ya hao wote na Yule Baba Kilaza nani M2 wa Sifa
 
Back
Top Bottom