Recent content by Simba2000

  1. S

    Unaitambuaje TV feki?

    Unatumia stabilizer?
  2. S

    Umeshawahi kupotea Kariakoo? Juzi ilibaki nukta nipige mayowe

    Si ungechukua namba za simu za sehemu uliponunulia mizigo?
  3. S

    Naomba Design nzuri ya kisasa au hata mgongo wa tembo kuezeka nyumba ya Floor Plan hii

    Yaan utoke na chakula jikoni upite toilet, na room ndo uende dinning? Hapana. Just google utapata plans nzuri sana.
  4. S

    Hongera kwa wote walioamua kuoa

    Ukikua utaacha.
  5. S

    Kwa mnaotaka kuja Norway, ujipange kwa vyakula na vinywaji

    Ungeelezea na kipato cha mtu wa kawaida uko ni shilingi ngapi, ili ndo tujue gharama ni kubwa au ndogo au kawaida.
  6. S

    Ushawahi zimikiwa na jiko la gesi ukiwa unapika?

    Unatakiwa uwe na mtungi wa reserve.
  7. S

    Serengeti: Adaiwa kumuua mumewe siku 14 baada ya kufunga ndoa, kisa si chaguo lake

    Atakua alilazimishwa kuolewa. Mleta habari kasema alirudi nyumbani wazazi wakasema umeshatolewa mahari hatuwezi rudisha ng'ombe.
  8. S

    Msaada: Nasumbuliwa na maumivu ya kiuno

    Shida ni kiti cha hlo gari. Kuna wengine wanaongeza vtu kwenye kiti kama mto n.k, na ukiuweka vibaya ndo unaleta shida.
Back
Top Bottom