Malaika wa Kifo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 3,971
- 4,478
Njoo unirudishie 770k mi nataka kununua inch 55bei gani mkuu nijilipue ninunue
Njoo unirudishie 770k mi nataka kununua inch 55bei gani mkuu nijilipue ninunue
Soyi au Sony??Kuna rafiki yangu alinunua tv aina ya Soyi,mwaka juzi mpaka leo inapiga kazi na ina picha kali sana,japo ukiishika ni nyepesi mno lakini iko vizuri sana.
The best kwenye quality ni ipi mkuu?Hamna kitu wale wale. Ni TV zimepewa tu umaarufu ila kwenye quality bado sana.
LG, SONY, SAMSUNGThe best kwenye quality ni ipi mkuu?
kuna jamaa anayo hiyo unayoisema ila cha ajabu inakataa kupokea wifi nadhani alipigwa. kapewa fakehisense hizi frameless ziko poa yaani model latest za 2021 mfano UHD kwa nn nikakwambia ivyo kuna sehemu nyingi za kubet na vibanda umiza vya kuonyeshea mpira wanatumia izo na zinapiga kazi masaa mengi na ile dstv sio poa ila zile sijui LED achana nazo zinachuja ila LED za lg ,samsung na sony ziko bomba
ila katika makapuni hayo ya nchina wa kwanza nampa hisense,then TCL na starx
na warranty wanakupa achaa tuNa wakati mwingine haya mambo ni kubahatisha. Hata lg inaweza ikakaa mwaka ikafa pia. Alaf hizi hisense zinauzwa hata kwenye maduka ya kuheshimika, hili ndo lilinishawishi.
Hizi warranty kibongo bongo naona bado hatuna utamaduni wa kuzitumia kwa manufaa, si kwa muuzaji wala mnunuzi.na warranty wanakupa achaa tu
Angalia kama inajizima kwa muda sawa kutoka mara ya kwanza na ya pili (mfano kila baada ya nusu saa au robo saa) kama ndivyo, turn off auto turn offBinafsi Nina shida Kama week mbili zilizopita nilinunua smart TV Aina ya TCL lakini nikiitumiaaa Kuna muda inafika inajizima yenyewe mpaka niiwashe Tena kwa remote je nitatizo la kawaida au nishida msaada?
Uko vizuri. Hizo ndio brand za uhakika. Ila LG nao wako vizuri pia kwenye friji. Ninayo moja nimenunua tangu mwaka 2007 na bado inadunda. Kwenye muziki kwa kweli Sony wako vizuri sana!Samsung na LG ni brand nzuri za tv ila kwa mimi naona LG is the best kwa tv. Mziki sony na friji samsung