Kweli sisi wakristo tumepewa agano jipya baada ya Kristo kufa msalabani.
Ndio maana hata zile adhabu za kule agano la kale hazitumiki tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi huwa na mkumbuka Sana Trump.
Maana anasema Wa Africa hatuwezi kujitawala wenyewe mpaka tutawaliwe tena miaka mia zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila wanaume wa mikoani akili zao mbovu sanaaa
Maana unakuta mtu mzima anamaswali ya kipumbavuu.
Eg utaskia eti Dar Kuna mwendokasi..???
Mwengine utasikia eti Dar Kuna lami kila sehem..??
Mwengine eti Dar Kuna madem wengi.
Eti Tigo ndio ninii..???
Yaani mbwa kwelii nyie wa naume wa mikoani
Sent...
Mimi ni kijana muajiriwa
Natamani sana nijifunze program yoyote kwenye computer kupitia private chuo popote Dar pale tuu napokuwa na muda na fasi.
Ratiba yangu inaweza kuwa tofauti na wanafunzi wenzangu.
Bila kujali gharama yeyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nlikuwa nikitazama vedeo Music ya nyimbo show me kutoka WCB Richi Mavoko akiwa na Harmonize.
Video Queen alie mtumia ni mkali sana na amecheza vizuri sanaa. Pia ni dada anaetambua kazi yake na kuitendea ilivyo stahiki. Tofauti na hawa ma Vedeo queen tuliowazoea Gigy Money na Amber Lulu. Napia...
Starehe za watu
Ngada ni taam nzurii huwezi fananisha na ngada.
Korea kaskazini wenyewe wameidhinisha na hatuwafikiii.Unakuta mtu kazi yake kudiss vilevi vya watu lakini yeye mwenyewe maisha ma bayaaaa kila siku ni uvivu kukaa na kuponda serikali hana hata lamuhimu analo fanya.
Ebhana
Pamoja jamaa kuwa na vyeti feki ila upande mwengine ni Jembe.
Kutoka vyeti vya magumashi mpaka ukuu wa mkoa.
Hatakama ni Mimi Rais na muacha.
Koz kuna watu wengi wana vyeti vizuri wanashindwa hata kupiganisha udiwani na sehem nyengine mbalimbali.
Mwacheni Mana hata hiyo katiba inaonesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.