Recent content by Silas R Buhembwe

  1. Silas R Buhembwe

    Nani chanzo cha records za mawasiliano zinazosambaa mtandaoni?

    Mbona ulianzisha kampeni ya kujiondoa vida ili hali umeandika tusiwalaumu TCRA wala makapuniya voda
  2. Silas R Buhembwe

    360 ya Clouds hii ni ukiukaji maadili ya uandishi

    Hawa jamaa jpli huwa wanaubiri but kwa kutoa kasoro wenzio ht bible inasema ondoa kwanza boriti la jicho lako
  3. Silas R Buhembwe

    Kwanini RPC Mambosasa amefurahi kuwa Kamishina Kanda Maalum Dar es Salaam akitokea Dodoma?

    Wabongo bana sasa ww umepima kwa nafasi yake ukaona hizo changamoto hatoweza angalau hata kukabiliana nazo au ulitaka agomee uhamisho kisa changamoto au aanze kulia kabisa Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Silas R Buhembwe

    Kwanini naona Rais Magufuli ameshindwa kuongoza Taifa...

    Wambie bana Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Silas R Buhembwe

    "Kachero" na Hatima ya CCM 2020

    Kumbuka kukaa magogoni sio sifa ya kuwa rais Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Silas R Buhembwe

    Kwanini naona Rais Magufuli ameshindwa kuongoza Taifa...

    Waburuze polisi ww huna akili timamu bila polisi hata hapo unapoishi ungekua salama acha ushauri wa kijinga kwa Raisi Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Silas R Buhembwe

    Kwanini watumishi wa Mungu hawamuelewi Goodluck Gozbert?

    Mungu haangalii mavazi,mwili,umbo au uzuri yy anaangalia moyo afu Mungu aonavyo ni tofauti na ss binadamu tuonavyo kumtumikia Mungu si lazima uvae suruali ya kitambaa na shati la thatini na tai usikariri badilika Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Silas R Buhembwe

    TANGA: Rais Magufuli azindua kiwanda cha Saruji Kilimanjaro

    Babati mm sio ccm but in 2 yrs nothing done Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Silas R Buhembwe

    Je, tuko sahihi kiasi gani kujadiliana na Barrick Gold plc badala ya tuliowapa migodi?

    Anasafirisha mchanga ni nan? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Silas R Buhembwe

    Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

    Galatians 6:7 Mungu hazihakiwi Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Silas R Buhembwe

    BAVICHA NA CHASO Mkoa wa Dodoma wajiandaa kwenda muda huu mahakamani kumlinda Lissu

    Kabla hayakufika unafurahia achana kupambana na nguvu ya dora panga vs risasi hasara ni kwa familia zao Post sent using JamiiForums mobile app
  12. Silas R Buhembwe

    NOWhatsapp ni zaidi ya GBwhatsapp

    Nikidownload inaniambia invalid link Post sent using JamiiForums mobile app
  13. Silas R Buhembwe

    Magufuli na kashfa za meli ya samaki na kuuza nyumba za serikali kwa bei chee

    Hakuna hoja hapo bado strength>weakness bado atashinda na atakua na power mbele ya jamii Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
  14. Silas R Buhembwe

    Ni kweli waliouawa Mwanza walitoka Kibiti?

    Unabisha nn juu ya hili na unavosema kwamba mtu yeyote akihamia sehem pasipo kujitambulisha kwa serikal ya kijiji anauwawa hv kweli watu wamekutwa na silaha wameuliwa as long as ni majambazi haijarishi wapi wametokea bado unapinga tu daah alieturoga kafa
Back
Top Bottom