swissme
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 13,662
- 19,880
Tanzania nzima kuna wanachama chadema million 42 kwa takwimu ya uchaguzi mkuu askari tanzania nzima wako milioni 2 sasa tukilianzisha na hao askari tunaishi nao mtaa jakuna rangi wataacha hona.Uncle Magu hataniwi jamani, mtavunjwa taya. Ugali mtaita nng'ali jamani! Nyie nendeni tu. Lisu anawatia uhayawani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Swissme