Recent content by sikapendi

  1. S

    Lema: Nawatakia kila la heri madiwani waliohama na kujiunga na CCM

    Eti watueleze ! Wakina nani? Kwa kipi?
  2. S

    Lema: Nawatakia kila la heri madiwani waliohama na kujiunga na CCM

    Uongozi ujitazame acheni blabla pin the point.
  3. S

    Lema: Nawatakia kila la heri madiwani waliohama na kujiunga na CCM

    Wewe sio mwana CCM hata kauli yako inaonyesha hivyo huwezi kumshawishi Katibu wetu kufikiri utumbo huo, hizo ni fikra za kwenu huko kambi ya vurugu.
  4. S

    Lema: Nawatakia kila la heri madiwani waliohama na kujiunga na CCM

    Ha ha haaaaaa [emoji61] [emoji61] [emoji61]
  5. S

    Mtulia wasingekuwa Polisi na Serikali, Bunge ungelisoma magazetini tuu

    Lazima msome alama za nyakati , upinzani kwa sasa sio dili kabisa. Rais amewekeza kwa wanyonge ambao ndio wapiga kura wake na wanamkubali, hivyo msiweke matarajio yale ya Amsha Amsha ya zamani kuyaona tena sasa. Ule mtazamo wa zamani wa kupata kura za huruma kwa wananchi hayo yote yameamia kwa...
  6. S

    Gari yangu Toyota Rav4 ina matatizo yafuatayo yaliyotokea ghafla

    Mimi ninayo Rav4 old model pia, tatizo ni gear box inagonga sana wakati nabadili from drive to reverse , nimekuwa sina raha na hiyo gari, nipo Arusha. Sijui natibu vipi tatizo?
  7. S

    Zoezi la Bashite na umati mkubwa wa watu

    Yule Makonda sio wa mchezo mchezo! Hana wa kulinganishwa nae kwa wapinzani, tufunge midomo tukalale hamna hoja juu ya Makonda yule ni mtu wa waungwana wa nchi hii. Wacheni povu futa kamasi uchape mwendo. Makondaaaaaa piga kazi tunakukubali baba. Hawa much know hawana jipya uwe na cheti usiwe na...
  8. S

    Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

    Hapo najua Rav4 gearbox inadunda sauti wakati wa kubadili gear , gari za kipuuzi mno ya kwangu nimeitupa uani.
  9. S

    Imeniuma golkipa Ismail suma kufariki na kuzikwa Burundi.

    Suma ametoa mchango mkubwa katika soka la nchi hii lakini leo TFF wanakaa kimya hadi kijana huyu anazikwa kama mkimbizi katika nchi jirani ya watu wengine, SHAMEFULLY ! Hawa mabalozi wetu katika nchi hizo wana faida gani ya kuwepo huko? Nimeumia sana kwa tukio la Suma.
  10. S

    Natafuta gari aina ya funcargo!!

    Na mimi nataka kupata ufafanuzi wa gari ndogo iitwayo Duet ubora na udhaifu wake. Nataka kuinunua kwa sifa ya matumizi madogo ya mafuta, je ni kweli?
  11. S

    Hivi kwanini picha za sattelite hazioneshi watu, magari n.k?

    Hapa hamna mwenye taaluma. Zero tu.
  12. S

    Uongo gani wa mwanasiasa uliovunja rekodi kwa mwaka 2017?

    Eti lowassa alikuwa fisadi lakini sasa sio fisadi tena ametakasika !!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  13. S

    Ushauri: Idris Sultan biashara itakutoa achana na uchekeshaji

    Ni kweli kabisa hana uchekeshaji wowote, hiyo sio talent yake. Ni vizuri akaelewa hivyo na ndio ukweli.
  14. S

    I am Ignorant, sijawahi waona Wanawake Waislamu wakienda Msikitini

    Hapa wapo wanaodai Mungu hayupo , nadhani ni wale wanaojiandaa kuanzisha mathehebu ya ndoa za jinsia moja na wengi wao ni mashoga. Hapa wanafanya maandalizi ya kutaka kutuaminisha kuwa Mungu hayupo ili tuhamie katika minutes za kikao kingine. Wale waumini wa uwepo wa Mungu wekeni pause hamna...
  15. S

    Kanali Muammar Gaddafi (1942 - 2011)

    MIMI NILIPOONA NENO GREAT THINKERS BASI NILIJUA HAPA WOOTE NI WATU WANAOJADILI JAMBO KWA KINA NA RESEARCH ZA HALI YA JUU, KUMBE NI POROJO TUPU, DUUH SINA HAMU YA KUJADILI JAMBO KATIKA HILI DAWATI . POLENI SANA.
Back
Top Bottom