I am Ignorant, sijawahi waona Wanawake Waislamu wakienda Msikitini

Mimi sijauliza badala.....
Nimeuliza ulishawahi kumwona Padri mwanamke?
Padri ni mwanaume na mwanamke anaitwa MADRI.
Je ulishawahi kumwona MADRI?
 
Habarini, sijui nimepofushwa macho au! Ni kwamba sijawahi waona wanawake waislamu hapa Tz wanaenda msikitini. Ninapokuwa mida fulani vijiweni, ikifika adhana, ni wanaume tu hujisogeza msikitini. Pia siku ya ijumaa, sijawahi waona au hata kumsikia mwanamke wa kiislamu akisema naenda msikitini.
Hivi ni mimi tu au ushamba wangu au ni kweli hawaendagi msikitini au huwa wanaenda kwa siri??
FaizaFoxy.
(b)Labda hao uliowaona wote walikuwa kwenye siku zao. wakiwa kwny bleeding hawaendi kabisa.

Wabillah Tawfiq
 
Mtoa uzi samahan kwan ww ni kabila gan? Na unaishi mkoa gan na kama upo dar unaishi maeneo gan ...mana kuna wkt mtu unaweza kuuliza swali ambalo halilingan na umri wako
 
Wewe kama sio muislamu mambo ya uislam unayachunguza ili iweje?
Pambana na hali yako,tusichoshane tuu hapa kwa kejeli na mengineyo yasiyokuwa na tija kwenye tanzania yetu ya V wonder
(b)Wewe una kiherehere kishumbusi mfano wa mbuzi...!

Unaweza kuthibitisha kuwa mtoa mada si muislam?

Karibu utetee kauli yako.
 
Swalaah ya Jama’ah ni waajib kwa wanaume na sio kwa wanawake
Imependekezwa kwenda kuswali Msikitini Swalaah za usiku kwa wanaume na sio kwa wanawake.
Wanawake hawalazimiki kuhudhuria Swalaah ya Ijumaa, wanaume ni lazima
Swalaah ya ‘Iyd ni waajib kwa wanaume, lakini si kwa wanawake. Hata hivyo imependekezwa kwa wanawake kuhudhuria ikiwa kutakuwa hakuna jambo litakaloleta fitna.
Du! Kwenye kuswali kuna mapendekezo ya watakaoswali na ambao si lazima waswali? Hayo mapendekezo yalitolewa na Nani?
 
Hapa wapo wanaodai Mungu hayupo , nadhani ni wale wanaojiandaa kuanzisha mathehebu ya ndoa za jinsia moja na wengi wao ni mashoga. Hapa wanafanya maandalizi ya kutaka kutuaminisha kuwa Mungu hayupo ili tuhamie katika minutes za kikao kingine. Wale waumini wa uwepo wa Mungu wekeni pause hamna mjadala hapa ni upuuzi mtupu , kila mmoja akafanye shughuli za kupambana na hali yake. Hakuna cha Great Thinkers ni Usenge tu.
 
Du! Kwenye kuswali kuna mapendekezo ya watakaoswali na ambao si lazima waswali? Hayo mapendekezo yalitolewa na Nani?
Nenda Kanisa Katubu achana na uislam hata nikikujibu utanikashifu.
 
Swali hili inabidi wajibu Waislamu na ndio wanaostahili kutuelimisha.
Sisi tusiokuwa Waislamu hatupaswi kuwabishia maswala ya imani yao ya Kiislamu.
Tunapaswa kujifunza kutoka kwao tu.
Mimi nilivyoelewa tendo la kuswali hufanyika mahali popote panapo mfaa Muumini na sio lazima iwe Msikitini hasa kwa Muumini Mwanamke .

Cc Malyenge.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom