Tlg
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 804
- 612
tatizo lake alipindua utawala wa kifalme nae akanogewa akawa kama mfalme haiwezekani ukae madarakani miaka 40 inamaana hakuna mtu mwengine sahihi kati ya walibya wote wakumrithi
hafu hakua hata na mpango wa kuondoka alitaka afie madarakani haya mambo ndo yanatuangusha africa ......kina mugabe
hafu hakua hata na mpango wa kuondoka alitaka afie madarakani haya mambo ndo yanatuangusha africa ......kina mugabe