Recent content by sijui nani

  1. sijui nani

    Hadithi: Ulimwengu wa Watu Wabaya

    Asante sana Mkuu kwa hii burudani. Binafsi nimeenjoy sanaa[emoji120][emoji120][emoji120]
  2. sijui nani

    Naombeni wenye kujua haya mambo, naona kama nina kitu Cha kipekee

    Nitabirie na Mimi mtumishi wa Mungu
  3. sijui nani

    Nimepata mchepuko 'Tom Boy'

    Kuoa je wanafaa? Au ni kula mbususu tu na kusepa?.
  4. sijui nani

    Unamfahamuje wife material?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwenye ile milioni 7 na we ni mmoja wao mkuu?.
  5. sijui nani

    Mwanamke wangu niliyezaa naye tumezinguana. Roho inaniuma naombeni ushauri wenu

    Hizi ndoa za siku hizi bana ni shida. Wanawake wanaroga sanaa ili waolewe. Matokeo yake dawa zikiisha nguvu mwanaume anakumbuka alikotoka. Usikute huyo mke aliroga. Kakuta mwenzie yupo tena ameshazalishwa kapambana na waganga hadi kaolewa yeye. Sasa yanamrudi. Haya mambo yanachanga jamanii...
  6. sijui nani

    Wasanii wanafirisika kwa manunuzi ya kishamba kama Rolls Royce

    Diamond alikuwa na ndoto ya kumiliki hili gari tangu 2015. Hili ni gari la ndoto zake jombaaa. Ningekuona wa maana kama ungemshauri kipindi hicho alichotangaza kutaka kuinunua hiyo gari. Sasahiv mchuma uko mikononi mwake kwa raha zake. Maneno yako sasahivi ni useless bin trash. Endelea kuteseka...
  7. sijui nani

    Diamond Platnumz na manunuzi makubwa anayofanya

    Unateseka tokea pande zipi zabibu Kiba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
  8. sijui nani

    Ujumbe tata wa Ney wa Mitego kwa Fred Vunjabei

    Neno mauji kalileta@kina kirefu ila hujaliona umekuja kuliona kwa Joanah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hasira za kukosa hela hizi. Hili swala la kuombwa pesa bana kila mtu ashinde mechi zake. Wanaoona kuombwa hela ni starehe waendelee kuburidika na wanaoona ni kero waache. Sio...
  9. sijui nani

    Diamond Platnumz arekodi ngoma na Wiz Khalifa

    Mbona konde boy alivyomshirikisha Awilo longomba hamkusema kitu?
  10. sijui nani

    Diamond ni Balozi mzuri, asemehewe

    Aombe msamaha kwa kosa gani? Kama ni kufanyia kampeni ccm mbona wasanii wengi tu walifanya? Tena karibia wote. Mbona wao hamwafanyii hivyo? Nandy anafanya nandy festival mbona hamfanyi figisu ili watu wasiende kwenye show yake? Acheni chuki kwa kijana wa tandale bana. Kama ni kweli ebu anzeni...
  11. sijui nani

    Diamond ni Balozi mzuri, asemehewe

    Mnavyosema ana dharau kisa alisema wakusanyike wasanii wote na ye awe pekeake anawakalisha mnajua haya mameno aliyasema kipindi gani? Hii kauli aliitoa kipindi media zote zimemsusa hazipigi nyimbo zake wala kumpa support yoyote. yaani wakusanyike hao wasanii wanaopewa saupport na yeye ambaye...
  12. sijui nani

    Diamond Platnumz kwanini ulikwenda wakati unajua kabisa hupati Tuzo, Wizikid mbona katulia zake gheto?

    Sikuwahi kujua kama watanzania ni wachawi namna hii. Stori za Diamond ndo zimenithibitishia hilo
  13. sijui nani

    Tuwaambie tu ukweli kina dada, ni wachache mno wanaopendeza kwa suruali

    Mi shepu yangu kama Tabu mtingita na siachi kuvaa seruali hasiraniii. Cha kufia nini
  14. sijui nani

    Serikali Sasa Irekebishe Ushuru Wa Magari

    Kwa akili hizi we jamaa utakuwa ni mbunge aise. Maana wabunge ndo wanaongoza kuwa akili finyu kama hizi.
Back
Top Bottom