Mmmh🙃🙃Naogopa itaweza kuleta taharuki
Waeleze hivi, mwanamke mwenye kitambi suruali haikfaiNi wachache mno, wengi wao ni mkumbo tu na kufuata upepo wa fasheni. Elewa hakuna kitu kwa ajili ya kila mtu, chagua chako na ukubali. Kama ilivyo kwa wanaume, sio wote watavaa pensi.
Sketi na magauni yanawakaa poa sana, hata wale wenye maumbo ya kanda pendwa hupendeza.
Suruali sina ubaguzi. Zikigoma acha, unakuwa kituko. Tatizo watu hawatakwambia ukweli, na sio kweli kwamba hawajali eti watamaindi mambo yao.
Unajitekenya tu.
Basi sikia ushauri, au endelea kushupaza shingo ili utusaidie vichekesho vya bure tupunguze stress zetu.
Ncha Kali.
mahondawTatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Ila wangu anapendeza kwenye chochote...
Muhimu kujikubaliMtuache na vitambi vyetu mm binafsi umbo langu ni baya sana linazidi la yule binti anaigiza Filamu ya Jua kali. Lakini suruali hapa ndio mahali pake yani siwezi kabisa kuvaa sketi wala gauni ni suruali tu na umbo langu kama Mkeka.
Kuna wanawake huwa nakutana nao barabarani wamevaa Suruali, aibu naiona mimi
Hii ni kweli but pia penda kusikiliza maoni ya ya watu wengi kuhusu mavazi yakoWanawake wengi hupendeza na suruali........
u made my morningUnakuta kadada kana (makalio marefu ) ana tumguu Kama pingiri za miwa na kitambi juu afu kavaa suruali aisee Hawa wakitembea hua wanatembea Kama wanarudi nyuma ...afu wa hvi Wana mashauzi hatari...! Eti wanajikubali
Cc mahondawTatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Ila wangu anapendeza kwenye chochote...
Mi shepu yangu kama Tabu mtingita na siachi kuvaa seruali hasiraniii. Cha kufia nini
Wakuache bhana weeeeh na shape yako ya mjusi .Tuacheni jamani, tuacheni.....