Vuta pumzi taratiiiiibu! Halafu shushaa, vipi mkuu unateseka ukiwa wapi 🤷🏼♀️Hakuna kitu kinafilisi wasanii fasta kama manunuzi ya vitu vya bei ghali ambavyo vinahitaji upkeeping, upgrading na maintenance ya status quo ya gharama zaidi, kwani ukishanunua Rolls-royce la billioni 2.1 la 2021 utatakuwa challenged ku maintain status quo na ununue Rolls Royce lingine la 2022, 2023 nakazalika otherwise utachekwa na kina Davido na wengine wapya watakao upgrade newer models.
Sasa wewe msanii umekaa miaka 10 unaota kununua Rolls Royce sasa umepata vihela vyako vya madafu umeenda marekani umevuta bangi ukajiona umepiga picha na wasanii wakubwa sasa unaendana na hadhi zao ukaona uvunje kibubu chako chote ununue Rolls Royce sawa sasa umeingia mtego jomba mwakani inatoka black badge ya 2022 Davido ataposti ya kwake je na wewe je utaendana na mwendo wake au utaishiwa pumzi nguvu za soda.
Kulikuwa na msanii alipiga hela bwana kwa siku alikua ananunua corolla tatu mfululizo kwa viitikio vya chekechea kapiga bangi zake na masaa 24 kashika chupa lake la konyagi, wewe sijui unaweka nini kwenye viglasi vyako vyekundu masaa 24 labda hennessy, ila bwana mwenzio wa ukuti ukuti kafulia chali.
Mike tyson alikuwa na hela chafu kwa siku alikua ananunua Rolls Royce nne kafulia chali...,
Mc hammer alikua msanii mkubwa dunia nzima ukitoa Michael jackson enzi hizo alipiga hela mbaya sana alikua na chawa kama wote ananunua Rolls Royce alafu anasahau kama alinunua Rolls Royce ananunua tena kumbe iko kwa cousin wake. Kafulia fasta....
Msanii ujue kwamba ku maintain status quo kwa presha za wanaharakati wa mitandaoni ni kujitafutia anguko lako, wote tunajua hela hiyo hunaa, sijui umefanyaje fanyaje ila tuna uhakika mwakani Rolls-royce black badge 2022 hutoboi, kama una pumzi tuletee kontena jipya mwakani kama hujauza vikorokoro vyako vyote. Alafu hizo Gari mwaka moja unatakiwa uipaki trust me hakuna fundi atagusa hiyo labda uiache ndani kama pambo.
Si kwenye magari bali kwenye kuonyesha mafanikio ya kazi zao za muziki, siyo kutunga mashairi marefu na kujikakamua eti kutoa sauti nzuri lakini fans hawaoni anachovuna au anachovuna hakiwaridhishi fans wanaoshindana kwa kutukanana mitandaoni.Ila mi napata tabu kung'amua siku hizi ushindani umeamia kwenye magari sio nyimbo nzuri tena?
Diamond alikuwa na ndoto ya kumiliki hili gari tangu 2015. Hili ni gari la ndoto zake jombaaa. Ningekuona wa maana kama ungemshauri kipindi hicho alichotangaza kutaka kuinunua hiyo gari. Sasahiv mchuma uko mikononi mwake kwa raha zake. Maneno yako sasahivi ni useless bin trash. Endelea kuteseka huko huko uliko juu ya mafanikio ya mwanaume mwenzio....Hakuna kitu kinafilisi wasanii fasta kama manunuzi ya vitu vya bei ghali ambavyo vinahitaji upkeeping, upgrading na maintenance ya status quo ya gharama zaidi, kwani ukishanunua Rolls-royce la billioni 2.1 la 2021 utakuwa challenged ku maintain status quo na ununue Rolls Royce lingine la 2022, 2023 nakazalika otherwise utachekwa na kina Davido na wengine wapya watakao upgrade newer models.
Sasa wewe msanii umekaa miaka 10 unaota kununua Rolls Royce sasa umepata vihela vyako vya madafu umeenda marekani umevuta bangi ukajiona umepiga picha na wasanii wakubwa sasa unaendana na hadhi zao ukaona uvunje kibubu chako chote ununue Rolls Royce sawa sasa umeingia mtego jomba mwakani inatoka black badge ya 2022 Davido ataposti ya kwake je na wewe je utaendana na mwendo wake au utaishiwa pumzi nguvu za soda.
Kulikuwa na msanii alipiga hela bwana kwa siku alikua ananunua corolla tatu mfululizo kwa viitikio vya chekechea kapiga bangi zake na masaa 24 kashika chupa lake la konyagi, wewe sijui unaweka nini kwenye viglasi vyako vyekundu masaa 24 labda hennessy, ila bwana mwenzio wa ukuti ukuti kafulia chali.
Mike tyson alikuwa na hela chafu kwa siku alikua ananunua Rolls Royce nne kafulia chali...,
Mc hammer alikua msanii mkubwa dunia nzima ukitoa Michael jackson enzi hizo alipiga hela mbaya sana alikua na chawa kama wote ananunua Rolls Royce alafu anasahau kama alinunua Rolls Royce ananunua tena kumbe iko kwa cousin wake. Kafulia fasta....
Msanii ujue kwamba ku maintain status quo kwa presha za wanaharakati wa mitandaoni ni kujitafutia anguko lako, wote tunajua hela hiyo hunaa, sijui umefanyaje fanyaje ila tuna uhakika mwakani Rolls-royce black badge 2022 hutoboi, kama una pumzi tuletee kontena jipya mwakani kama hujauza vikorokoro vyako vyote. Alafu hizo Gari mwaka moja unatakiwa uipaki trust me hakuna fundi atagusa hiyo labda uiache ndani kama pambo.
Heeee niliandika kama utani hivi...jamaa ameishatangaza huko Insta kuwa amekwisha agiza hii makitu....kwani inawakera!Hahahaah nimesikia Zari kamshauri dai avute na Bentley na Lamborgini...Hahahah kwani inawaumaeeee au inawakera.....!
Ila mi napata tabu kung'amua siku hizi ushindani umeamia kwenye magari sio nyimbo nzuri tena?
paragraph ya pili nimecheka sana iasee
Hivi kutuma laki moja kwa sasa inakugahrimu tsh ngapi?
Aisee kisa diamond watu wanalipuka matusi
Jana mzee extrovert nae kalipuka Hadi kala ban .
Aiiiseeee dah
Inategemea kama wewe ni ccm au chadema!!Hivi kutuma laki moja kwa sasa inakugahrimu tsh ngapi?
Typical roho ya kimaskini za kibongo.Mtoa uzi anateseka na maisha ya watu
Hasa masikini waliojaa roho za kichawi.Masikini hajawahi kumpenda mwenye Pesa, hata mara moja....