Unamfahamuje wife material?

Avue wigi
Atoe kope bandia
Anawe uso
Asuke mistari
Aseme nitakuja sio nitsakuja
Akibaki anavutia baada ya hapo napeleka kondoo ukweni.
 
Mmmh wife material!!!

nadhani huyu utamgundua kwa kumpima Kama amekaa kimaslahi zaidi, maana siku hizi unaweza ona unapendwa, anakujari kumbe yupo na mpango wake makakati kuufanikisha kupitia wewe.
sema kweli wengi now ni wana ekiti sana ni muhimu kuwachunguza
 
Habari wanabodi wa MMU,

Hivi ni kigezo gani wanaume wanakitumia kusema huyu mwanamke ni wife material?
Ningumu kumpata wife material because faithful girls ignores niggas.. acha tuendelee kusumbuana Na ivi vibinti kisirani vya mtaa tu .. imagine mtaa una madem 12 Kati yao mabinti wenye vigezo vyakuolewa Ni wa 3 tu na hao watatu adi wakupe namba mzee siyo leo na wakikupa adi ufikie kumuoa inabidi nawew uji edit kinoma muendane tabia kitu ambacho asilimia kubwa ya vijana hushindwa .. ndoa Ni pata potea .. enjoy your lifestyle f*c marriage over
 
Ningumu kumpata wife material because faithful girls ignores niggas.. acha tuendelee kusumbuana Na ivi vibinti kisirani vya mtaa tu .. imagine mtaa una madem 12 Kati yao mabinti wenye vigezo vyakuolewa Ni wa 3 tu na hao watatu adi wakupe namba mzee siyo leo na wakikupa adi ufikie kumuoa inabidi nawew uji edit kinoma muendane tabia kitu ambacho asilimia kubwa ya vijana hushindwa .. ndoa Ni pata potea .. enjoy your lifestyle f*c marriage over
Mimi vigezo vyangu Ni 2 tu

1 awe mrembo
2 asiwe na dharau

Kwakuwa asipokuwa na dharau anauwezo wakufundishika kwa mengine .. wote tuna madhaifu yanayo fanana tunatofautiana viwango tu na namna yaku deal nayo
 
Factors to consider when selecting raw materials:

1. Reputation: It’s important to select material from a reputable supplier that will be able to supply the materials every time. Suppliers should be audited to ensure they handle materials under sanitary conditions and have accurate records. It is preferable to perform on-site audits;

2. Identity: One requirement is demonstrating that the material used is indeed the material claimed. Identity tests range from organoleptic to very specific tests such as HPLC (high performance liquid chromatography) or IR Spectroscopy.

3. Purity: this confirms that the material is fit for consumption and is free of contaminants such as microbial contamination or excess heavy metals. Purity test methods are established by authorities such as USP or AOAC and may be modified to meet your requirements. Microbial contamination tests typically include total plate count, yeast and mold, Salmonella, E. coli and coliforms. Heavy metal tests typically include lead, cadmium, arsenic and mercury. Again, if you don't have an in-house laboratory then you are strongly adviced to send the samples to a third-party laboratory for testing.

4. Potency: When using a material that has a daily value (a vitamin or mineral) or claiming a component of a material (i.e., choline from choline bitartrate or ginsenosides from ginseng), it is necessary to ensure the material contains the correct amount of that component. Third-party lab testing can be used in this instance as well.

5. Composition: Set the specifications of the product and the individual raw materials early in the design process to ensure sourcing consistency. You must ensure the materials sourced meets the specification of the product you want to build.


6. Value: Products need to be consistent. While it may be more economical in the short term to select raw materials on price alone, a material that is a little more expensive but gives consistently high quality materials from the same supplier for every lot may be the better value in the long run.
kwenye ile milioni 7 na we ni mmoja wao mkuu?.
 
Mimi vigezo vyangu Ni 2 tu

1 awe mrembo
2 asiwe na dharau

Kwakuwa asipokuwa na dharau anauwezo wakufundishika kwa mengine .. wote tuna madhaifu yanayo fanana tunatofautiana viwango tu na namna yaku deal nayo
🤝🤝🤝🤝
 
Factors to consider when selecting raw materials:

1. Reputation: It’s important to select material from a reputable supplier that will be able to supply the materials every time. Suppliers should be audited to ensure they handle materials under sanitary conditions and have accurate records. It is preferable to perform on-site audits;

2. Identity: One requirement is demonstrating that the material used is indeed the material claimed. Identity tests range from organoleptic to very specific tests such as HPLC (high performance liquid chromatography) or IR Spectroscopy.

3. Purity: this confirms that the material is fit for consumption and is free of contaminants such as microbial contamination or excess heavy metals. Purity test methods are established by authorities such as USP or AOAC and may be modified to meet your requirements. Microbial contamination tests typically include total plate count, yeast and mold, Salmonella, E. coli and coliforms. Heavy metal tests typically include lead, cadmium, arsenic and mercury. Again, if you don't have an in-house laboratory then you are strongly adviced to send the samples to a third-party laboratory for testing.

4. Potency: When using a material that has a daily value (a vitamin or mineral) or claiming a component of a material (i.e., choline from choline bitartrate or ginsenosides from ginseng), it is necessary to ensure the material contains the correct amount of that component. Third-party lab testing can be used in this instance as well.

5. Composition: Set the specifications of the product and the individual raw materials early in the design process to ensure sourcing consistency. You must ensure the materials sourced meets the specification of the product you want to build.


6. Value: Products need to be consistent. While it may be more economical in the short term to select raw materials on price alone, a material that is a little more expensive but gives consistently high quality materials from the same supplier for every lot may be the better value in the long run.
 
MWENYE AKILI TIMAMU

Maaana akiwa na akiki timamu hawezi andika hivi txt zake

P badala ya poa
K badala ya oky
10x badala ya thanks
Xaxa badala ya sasa
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom