Recent content by Siempre Hechos

  1. Siempre Hechos

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kitu ambacho wanawake hawajui ni kuwa Wanaume tunawajua wanawake vizuri sana ila tunazuga hatuwajui kwa Maslahi yetu

    Huu ni ukweli usiopingika. Kama lile la kuwasifia kuwa wanaweza kufanya kazi nyingi kwa wakati mmoja kumbe sisi tunawachora tu ili ku-maximize pay off zetu.
  2. Siempre Hechos

    JamiiForums Tanzania Kimara inaharibu taswira ya jiji la Dar, serikali haioni hii aibu?

    Bora hata huko, hivi ukiwauliza wakazi wa Kibaha kwamba Kibaha Mjini ni wapi, wakikuonesha uje nimekaa paleee. Kuna mikoa ukisema unaenda mjini ukifika kweli utasema kweli ni mjini. Utaona mpangilio wa upatikanaji wa huduma mbali mbali, utaona mpangilio wa majengo ya ofisi mabali mbali...
  3. Siempre Hechos

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini umpe mpenzi wako au mke wako hela mbele za watu??

    Nakubaliana na wewe kabisa, huu ni ulimbukeni wa kiwango cha juu sana, halafu ndo mnaonesha nini kwa watu, kwamba mna pesa, mnapendana ama nini! Kwa mwanaume anayejielewa kila kitu kinamalizika behind the scene.
  4. Siempre Hechos

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Jana Rodrigo kapiga mpira mkubwa halafu na ufundi mwingi sana.
  5. Siempre Hechos

    JamiiForums Tanzania GE2025 Eng Hersi Said kuchangia CCM milion 100 ada zetu za uanachama ni kutudharau sisi wanayanga

    Hivi kuna sheria za FIFA zinazozuia timu kujihusisha na mambo ya siasa? Na kama zipo ni Kwamba Yanga hawazifahamu? Au ni nini kimetokea!
  6. Siempre Hechos

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole amjibu Rostam Aziz na kuongelea kuvuliwa kwake Ubalozi

    Nimehangaika sana leo kufungua YouTube ila bila bila, kumbe shida ndo hizo episodes!
  7. Siempre Hechos

    JamiiForums Tanzania KERO Foleni ya malori barabara ya Morogoro (Ubungo hadi Kimara) ni kero kubwa, yazuiwe kwa muda kama inavyofanyika muda wa Asubuhi

    Kwa kweli malori yanaleta adha kubwa sana ya foleni hiyo jioni. Ni kweli kabisa kwamba upanuzi wa barabara utakapokamilika huko Kibaha foleni itakuwa sio ya kitoto. Naamini Serikali inalienable hili na inampango mkakakati, lasivyo, aisee! sijui.
  8. Siempre Hechos

    JamiiForums Tanzania 2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

    Huwa sibeti mkuu!
  9. Siempre Hechos

    JamiiForums Tanzania 2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

    Tulioangalia mpira bila ushabiki baada ya kutinga hatua ya nusu fainali tulijua bingwa atakuwa nani.
  10. Siempre Hechos

    JamiiForums Tanzania 2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

    Ngoja walipe gharama.
  11. Siempre Hechos

    JamiiForums Tanzania 2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

    Kweli, wakumbushe mkuu!
  12. Siempre Hechos

    JamiiForums Tanzania 2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

    Japo mpira unadunda ila nilisema PSG na Chelsea hawatofautiani sana kimbinu. Na ukiangalia kwa sasa kikosi cha Chelse kiko loaded, walioko ndani na walio bench. Narudia tena kusema Chelsea anahangaishwa sana na Waingereza wenzake lakini sio nje ya Uingereza.
  13. Siempre Hechos

    JamiiForums Tanzania 2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

    3
  14. Siempre Hechos

    JamiiForums Tanzania 2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

    Absolutely!
Back
Top Bottom