Recent content by Siempre Hechos

  1. Siempre Hechos

    Kwa hii idadi ya noti za tsh 10,000 ziazotoka kila dakika kwenye ATM kuna ulinganifu kweli na noti nyingine mtaani?

    Mkuu umefikira mbali sana, umewaza kitu ambacho hata sikukifikiria kabisa. Nakubaliana na wewe kwamba inakuwaje ATM zisiwekwe noti za dinominasheni mbali mbali ili mtoaji achague kiasi kulingana na dinominasheni anayotaka kulingana na matumizi yake. Hizi kumi kumi zitakuwa nyingi mtaani...
  2. Siempre Hechos

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Huwa wakiambiwa ligi ya Hispania ni bora wanabisha, haya, yakowapi!
  3. Siempre Hechos

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Nikimuona Camavinga jinsi anavyofanya undava hapo katikati namkumbuka Ediga Davis mtupu.
  4. Siempre Hechos

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Hiyo statement ya "It is Madrid against the world" imenikumbusha aliisema Zidane kipindi anaingia Uefa Champ finali kwa mara 3 mfululizo. Statement moja ya kutia morari wachezaji kwa kiwango cha juu sana.
  5. Siempre Hechos

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Moment ambazo huwa nazichukia kwenye mpira ndo kama hizi sasa!
  6. Siempre Hechos

    Huyu Mwanamke tangu alipokuja kwangu kang'ang'ania kukaa hataki kuondoka

    Hata mimi niliwaza hivi hivi, au aweke mambo yake fresh ila asimwoneshe dalili za kumkimbia! akiwa tayari ampe kiasi flani cha pesa ikiwa kama kamugiza mbali ( sehemu ya kutumia masaa zaidi ya 6 au siku nzima) yeye anarudi anasomaba vitu vyake, business closed.
  7. Siempre Hechos

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Na hiki cha kusifia sifia ndo kimeifanya Uingereza kwenye michuano ya kimataifa kuwa na hype kubwa lakini makombe yakiwakimbia. Wanatabia sana ya kusifia vya kwao hata kama havina maajabu. Vyombo vyao vya habari kwa propaganda sidhani kama kuna vya nchi nyungine vinaifikia.
  8. Siempre Hechos

    Biblia wanayotumia Wakotoliki na wanayotumia Walutheri pamoja na madhehebu mengine ni tofauti?

    Ni kweli kabisa mkuu, ni kitabu cha muongozo wa ibada, watu wengi tunachanganya.
  9. Siempre Hechos

    Kwanini wanafunzi wa shule ya Msingi na Sekondari siku hizi hawana vitambulisho?

    Nimekuwa nikijiuliza kwani kitambulisho maana yake ni nini? na kazi yake ni nini?, au vinatumika kwa baadhi tu ya watu na taasisi na sekta nyingine?. Wanafunzi wa Shule ya Msingi na Sekondari siku hizi hawana vitambulisho ama ni mimi sifatilii mambo? Yawezekana kwao sio muhimu kwa sababu wanavaa...
  10. Siempre Hechos

    Serikali ya Tanzania imebariki raia wake kuibiwa kupitia Makampuni ya Michezo ya Kubahatisha

    Halafu tunatafuta mchawi kuhusu upungufu wa bidhaa, kumbe muda ambao wengi wetu tungeutumia kubuni mbinu za uzalishaji bidhaa walio wengi tunautumia kubeti, ukiwa na tsh 1000 kwenye simu yako ni mtaji tosha. Asubuhi mpaka jioni tunafanya uchambuzi wa mechi(hii inatuhusu wale tusio na shughuli...
  11. Siempre Hechos

    Uliwahi kupata mikasa gani kwa kuishi kwa ndugu?

    Kuna ile mtu anafunga chuo hataki kwenda kwao hasa wa vijijini, anaamua kutafuta ndugu hata ambaye hawajazoeana sana anaamua kukaa kwake. Hii kitaalam I.ekaaje.
  12. Siempre Hechos

    Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

    Aliyeweza kuunganisha makabila mbalimbali na kutengenza jina moja la kabila la "Wachaga" ndo chanzo cha mafanikio yao. Yale ni makabila mbali mbali yaliyoungana, so kwa nje wanonekana wamoja lakini kwa ndani wana vita ya kila kabila kupata mafanikio, so boom. Kama kuna mtu anabisha Wachanga sio...
  13. Siempre Hechos

    Club Anthem zenye hisia kali zinapoimbwa Duniani

    [emoji1][emoji1][emoji1]
Back
Top Bottom