Nyuma haiko vizuri bado.
Bado wanaitaji mabeki hasa wa kati wazuri zaidi.
Ikiwemo kiungo mkabaji.
Hansi anabaati amekuja kipindi real Madrid haiko fresh.
Mpira anaocheza alonso ni mwepesi sana, ile timu ya jana ilikua ni dhaifu na bado unahisi wanafika maka chini ya goli kiwepsi sana.