Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

sioni hii timu ikitoboa kwa Barca huu msimu, itakua ni aibu kukosa ubingwa kwa mara ya pili mfululizo.
 
sioni hii timu ikitoboa kwa Barca huu msimu, itakua ni aibu kukosa ubingwa kwa mara ya pili mfululizo.
Nyuma haiko vizuri bado.

Bado wanaitaji mabeki hasa wa kati wazuri zaidi.
Ikiwemo kiungo mkabaji.
Hansi anabaati amekuja kipindi real Madrid haiko fresh.
 
Mabeki ni shida sana kwenye hii timu.
Wamesajili but still bado .
Wakikutana na team yenye washambulaiji imara ni rahisi kupoteza mchezo.
 
Nyuma haiko vizuri bado.

Bado wanaitaji mabeki hasa wa kati wazuri zaidi.
Ikiwemo kiungo mkabaji.
Hansi anabaati amekuja kipindi real Madrid haiko fresh.

Mpira anaocheza alonso ni mwepesi sana, ile timu ya jana ilikua ni dhaifu na bado unahisi wanafika maka chini ya goli kiwepsi sana.
 
Ila Vin anamdomo sana uyu jamaa angepata red jana
1756120273783.jpg
 
Nyuma haiko vizuri bado.

Bado wanaitaji mabeki hasa wa kati wazuri zaidi.
Ikiwemo kiungo mkabaji.
Hansi anabaati amekuja kipindi real Madrid haiko fresh.
Tchouameni mzuri tu ,madrid inahitaji zaidi .controller na creator kwenye kiwango hawa akina Valverde na Guler so wachezaji wa kuwa regular kwenye squad
Kingine wachezaji wengi Madrid wazuri kama Wameflop likes ya Vini, Rodriguez na Rudiger solution ni kuwaombea warudi kwenye peak au kupiga bei waletwe wengine world class player
 
Tchouameni mzuri tu ,madrid inahitaji zaidi .controller na creator kwenye kiwango hawa akina Valverde na Guler so wachezaji wa kuwa regular kwenye squad
Kingine wachezaji wengi Madrid wazuri kama Wameflop likes ya Vini, Rodriguez na Rudiger solution ni kuwaombea warudi kwenye peak au kupiga bei waletwe wengine world class player
Yah ila kupata wachezaji wazuri sasa ni ngumu maana mpk uwapete.

Kutoka kati kurudi nyuma hasa ndo Kuna shida.
Mbele kuboleshwe tuu.
 
Dual ya Vin na Mbape haijawahi kuwa njema hata kidgo kwa timu...kimsingi team inakuwa inacheza pungufu.
 
Back
Top Bottom