Nyuma haiko vizuri bado.sioni hii timu ikitoboa kwa Barca huu msimu, itakua ni aibu kukosa ubingwa kwa mara ya pili mfululizo.
Nyuma haiko vizuri bado.
Bado wanaitaji mabeki hasa wa kati wazuri zaidi.
Ikiwemo kiungo mkabaji.
Hansi anabaati amekuja kipindi real Madrid haiko fresh.
Tchouameni mzuri tu ,madrid inahitaji zaidi .controller na creator kwenye kiwango hawa akina Valverde na Guler so wachezaji wa kuwa regular kwenye squadNyuma haiko vizuri bado.
Bado wanaitaji mabeki hasa wa kati wazuri zaidi.
Ikiwemo kiungo mkabaji.
Hansi anabaati amekuja kipindi real Madrid haiko fresh.
Jana Rodrigo kapiga mpira mkubwa halafu na ufundi mwingi sana.Mpira anaopiga Rodrigo kocha kweliiii hii mali ya kukaa nje kweli!!???
Yah ila kupata wachezaji wazuri sasa ni ngumu maana mpk uwapete.Tchouameni mzuri tu ,madrid inahitaji zaidi .controller na creator kwenye kiwango hawa akina Valverde na Guler so wachezaji wa kuwa regular kwenye squad
Kingine wachezaji wengi Madrid wazuri kama Wameflop likes ya Vini, Rodriguez na Rudiger solution ni kuwaombea warudi kwenye peak au kupiga bei waletwe wengine world class player
Xibi Alonso asije kuwa kama kocha wa simba ooooJana Rodrigo kapiga mpira mkubwa halafu na ufundi mwingi sana.
Dah! Hii VAR nayo jau 😂Mbappe is teed up by TAA and scores, but the goal is ruled offside
View attachment 3459571
View attachment 3459572
GOAL! Mbappe slams the ball into back of the net! Real Sociedad 0-1 Real Madrid
View attachment 3471432
Huna baya 👍GOAL! Mbappe sets up Guler to extend the lead! Real Sociedad 0-2 Real Madrid
View attachment 3471438
Natamani ingekuja arsenal aisee, sijajua kocha. Ana ona kipiMpira anaopiga Rodrigo kocha kweliiii hii mali ya kukaa nje kweli!!???
Rodrygo akafanye nini Arsenal? 😂Natamani ingekuja arsenal aisee, sijajua kocha. Ana ona kipi
Arsenal msahau ilo suala🙌🏽Natamani ingekuja arsenal aisee, sijajua kocha. Ana ona kipi