Hapo mkuu tafuta hata m2 nenda katoe wakisema haitoshi hao wanaweza kuwa wanakukataza kuoa mtoto wao ukizingatia hali ya uchumi ilivyongumu hawawezi kupanga mahari yote hiyo na baadhi ya makabila hawaendekez mahari kwan wanajua mahari haiweki mtu bali upendo wa dhati
Hukutakiwa useme ungekausha tu unakufa kijeruman wenzako walimpendeza mungu wakafa katika uzee mwema sasa vipi mwenzetu au ulikuwa na pepo la ngono unasikitisha sana mkuu
Bora anayekwambia ukwel kuliko akakudanganya anakupenda mwisho wa siku unahonga ada yote shule unafeli halafu anakujakusema hakupendi hapo ndipo unagonga like kwa lucifer moja kwa moja acha hizo wenzako wanalilia kusoma wewe unalilia demu au chuoni wanafundisha mapenzi tu kwa hiyo uko field
Pole sana kwa yaliyokukuta ila cha msingi ni kuheshim maamuzi ya baba yako maana hata kama ataoa huyo dada na mkawa mnaheshimiana mambo hayawezi kuwa mabaya ndan ya nyumba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.