Recent content by Short-Gun

  1. S

    Gym Bungeni,Nani Apige Chuma? Said Nkumba ama Capt Komba

    Kwel hawa viongoz wametuchoka tena hawana huruma kabisa wanapendekeza wizi wa dhahiri sidhan kama hayo ndio maisha bora wamezid ufisadi
  2. S

    Msaada: Eti nilipe mahari milioni nne (4,000,000)?!

    Hapo mkuu tafuta hata m2 nenda katoe wakisema haitoshi hao wanaweza kuwa wanakukataza kuoa mtoto wao ukizingatia hali ya uchumi ilivyongumu hawawezi kupanga mahari yote hiyo na baadhi ya makabila hawaendekez mahari kwan wanajua mahari haiweki mtu bali upendo wa dhati
  3. S

    True story:'Hii ndio idadi kamili niliyowahi kutembea nayo....

    Hukutakiwa useme ungekausha tu unakufa kijeruman wenzako walimpendeza mungu wakafa katika uzee mwema sasa vipi mwenzetu au ulikuwa na pepo la ngono unasikitisha sana mkuu
  4. S

    Ifike muda habari za vibustani vikomeshwe...

    Mkuu ndio maana michepuko huwa sipendi kabisa maana unaweza kulishwa hata sumu
  5. S

    ...Capt. John Komba aliudanganya Umma!

    Duu kilichonifurahisha hapo mkuu ni mwili si wake lakini..... umetisha sana
  6. S

    True story:'Hii ndio idadi kamili niliyowahi kutembea nayo....

    Pole mkuu sasa wasiwasi wako nin mkulima hufurahia kile alichokipanda subir mavuno yako
  7. S

    Njia kuu yako,Mchepuko wangu

    Yaan mimi naoa halafu mtu anataka kuja kunimegea mke wangu hakiyanan nang'oa meno m2 bila ganzi
  8. S

    Huyu mtoto ataniua soon

    Bora anayekwambia ukwel kuliko akakudanganya anakupenda mwisho wa siku unahonga ada yote shule unafeli halafu anakujakusema hakupendi hapo ndipo unagonga like kwa lucifer moja kwa moja acha hizo wenzako wanalilia kusoma wewe unalilia demu au chuoni wanafundisha mapenzi tu kwa hiyo uko field
  9. S

    Mabinti Tanzani ni nouma...

    Mkuu pole sana kwa yaliyokukuta ila jipe moyo kuna siku utampata mwenye mapenz ya dhati
  10. S

    Roho mbaya

    Karibu sana ingawa mwaka jana mimi sikuwepo humu ndan ila karibu
  11. S

    Hii Inakuhusu Wewe Mwana Jamii Forums,..

    Asante mkuu hapo umenena vyema
  12. S

    Wanaume tuwe makini na wachungaji

    Duuu hii ni noumaaaaa
  13. S

    Nini chanzo cha ushoga (uhanithi)?

    Hapo kikubwa mkuu ni watu kujifanya wajuaji sana hatimaye wanakosa hofu ya MUNGU ndio wanaanza usodoma
  14. S

    Niwafanye nini watu hawa?

    Pole sana kwa yaliyokukuta ila cha msingi ni kuheshim maamuzi ya baba yako maana hata kama ataoa huyo dada na mkawa mnaheshimiana mambo hayawezi kuwa mabaya ndan ya nyumba
Back
Top Bottom