Mabinti Tanzani ni nouma...

Mabinti Tanzani ni nouma...

Halafu Bodi imewacheleweshea bumu basi tunakomaje.

Nina michepuko na njia kuu 3 zote zimecheleweshewa bum.

Nimeamua kuzitia kwenye blacklist hazinipati kwa hewa.
 
Kwhyo wa Uganda ni katenda mubi au katenda mulungi??
 
kikubwa badili style yako ya utongozaji also tafuta type yako....ila pole kwa mikasa

dada kuna wasichana wa ajabu sana duniani.ukumtongoza tu kabla hata hajakukubali au kukataa anakuomba hitajio lake kwanza hata kabla ya la kwako.mara nyingi huomba hela na hata komba anunuliwe vitu vya bei kali.huwa nashangaa sana.
 
Kama ningekuwa katika mchakato wa kudate ningependa kukutana na wa dizaini yako... Sijui mnawaokotea wapi hao!!!
bahati mbaya nimesitisha...
 
sasa mbona hayo ya kawaida tu...
kwanza yanakupa akili ya maisha
 
Nipe nikupe unataka kupewa tuu ?nehi !nehi!
 
Ila katika hali halisi vibomu vimezidi nna rafiki yangu anasema kabisa safari hii sitoi mshahara wangu kwenye chochote hata maji noo! hela ya mwanaume itafanya haya sasa jiulize huyo mwanaume anaombwa pesa kiasi gani?na haja olewa ni mpenzi tuu huyo.
 
Mkuu pole sana kwa yaliyokukuta ila jipe moyo kuna siku utampata mwenye mapenz ya dhati
 
Back
Top Bottom