niliwahi kukuta mod mmoja kasahau ku-log off kwenye cafe moja downtown. Isingekuwa umri wangu mkubwa wallahi watu kadhaa wangekula life ban humu jf
Niliwahi kukuta MOD mmoja kasahau ku-log off kwenye cafe moja downtown. Isingekuwa umri wangu mkubwa wallahi watu kadhaa wangekula LIFE BAN humu JF
ningekuwa mimi ningepiga lifeban wadada wote wanaoshinda kule jlw
Dah. Public computers for jf na fb? Simu haitoshi?
Sidhani kama umefikiria vizuri ........ !!, re-think again, nina mda mrefu sana sjatumia internet kwenye simu, haimaanishi sina simu au haina uwezo wa data access, yaweza kua na hata 3G,LTE,,,,, or whatever ...name it.
But kuna scenarios mbali mbali,.... hata huyo alieenda internet cafe, Haimaniishi kuwa alikua hana access kwenye hand set yake moja kwa moja..... you never know!!.
I just didn't find a "Dislike Button".... ningeibonyeza for you today!!.