Kuna nyumba mpya ya kupanga nimehamia kama miezi miwili iliopita katika io nyumba kuna msichana next door anaishi na dada yake tunasoma wote chuo kimoja.
Mwanzoni nilimpenda na yeye akaonyesha kama ananipenda ila sijawahi kumwambia sasa juzi kati ikabidi nimchane kwamba nampenda.
Alichoniambia ni kwamba anampenda jamaa mwingine wa jirani hapa afu sipo hata kwenye hisia zake dah ilo jibu lili nimaliza nguvu sababu mtoto nishamzimukia mbaya sasa hivi hata kula siwezi alafu nahisi hata mtihani wa chuo naweza kufeli guys naombeni ushauri jinsi gani naweza msahau?
think about this......
kuna possibility ya yeye kuachana na huyo jamaa later?yes
kuna possibility ya wewe kumpata baadae? yes....
kuna possibility ya wewe kuwa mchepuko huku huyo jamaa anamiliki? probably yes
why ukose raha sasa?
life has full of possibilities ukitazama vizuri....
kuna possibility ya wewe kumpata mwingine na kumsahau huyo?yes...
its not the end of the world.......
Hapo unahitaji msaada wa kisaikolojia mkuumkuu najaribu kuconcetrate kwenye masomo lakini nashindwa yani nashindwa kujicontrol kabisa
Mkuu serious naomba ushauri niko kwenye hali mbaya
mkuu najaribu kuconcetrate kwenye masomo lakini nashindwa yani nashindwa kujicontrol kabisa