Shukran mkuu. Ila niko mwanza so kwa sasa ni ngumu kuweza kufika hapo mikochen. Kuhusu kugonga leo anasiku ya kumi na moja tangu amalize cku zake. Toka alipo maliza mpaka Leo kila siku ninagonga daily.
Mkuu mke wangu anatatizo wamemwambia tatizo lake. Ni homon imbalance. Cjui nifanye nn I real like kupata mtoto ni mwaka na miez sasa tangu nioe. Siku zake zinakuja bila mpangilio baada ya miez 2.mara siku 70 Cjui hata nifanye nn
Mkuu we ni mnafik na Yaonekana ni jinsi gani ulivyo. Chuki zako dhidi ya dhehebu husika. sharia hiyo inatumika kwa mtu aliyebalehe / kuvunja ungo. Tena mwenye akili timamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.