Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,119
- 49,492
While ni kweli kwamba, kutokana na makuzi/malezi yake hiyo ndio tabia aliyofanikiwa kujikusanyia hadi sasa, na kubadili ni ngumu. Still u can do this;
1) Kumbadilisha ufikiri wake kuhusu maisha ya ndoa na mapenzi inabidi kubadili her daily routine.
2) Na kwanini ni mama wa nyumbani these times? Wakati anaweza kuwa partly mama wa nyumbani na partly helping with family businesses? Huko ataona wanawake wenzie wanavyojihangaisha for their husbands na akajifunza kitu.
3) Mchunguze vizuri anavyoishi, karidhika? Has she met her goals in life? Do u make her happy? Kwa sababu kama mtu akifurahi na huku akijua wewe ndio sababu ya furaha yake, Sioni ni kwanini asikufanyie unayotaka na zaidi na zaidi
4) Perharps thats how she loves a person, yani kukupenda wewe ndo vile anavyofanya(Thats how she is)
aisee hiyo no 4 ni kweli kabisa..nimekutana na wanawake wengi wanaoshindwa kuwa na furaha katika ndoa na kushindwa kutimiza yale waume zao wanayohitaji..
...katika maisha binadamu ana malengo yake..unakuta huyo mwanaume alimuhaidi huyu mwanamke kumkamilishia malengo yake ila mwisho wa siku anamweka nyumbani kama zigo la mchanga..
Hii hali inaweza ikabadilisha hisia za mwanamke na asione umuhimu wa kufanya chochote zaidi anaishi kimazoea na huku anaumia moyoni..
Wewe unatoka na brufukesi asubuhi yeye na kapu sokoni..
....kumbuka ahadi ulizotoa ukitimiza utahimarisha penzi..
Last edited by a moderator: