Kuridhika ktk mapenzi

Kuridhika ktk mapenzi

Mbangubangu

Senior Member
Joined
May 6, 2013
Posts
188
Reaction score
70
Natumaini tumemaliza sikukuu ya kumbukumbu ya kuzaliwa yesu salama.

Sasa me naomba kujuzwa.kipi kinamfanya mwanamke/mwanaume kuridhika ktk mapenzi.
Mimi binafsi nimeona mwanamme yeye kufika kwake kileleni ndio kuridhika kwake na pindi afikapo wale atakikujitesa anapumzika na kusubiri tena mpini ukae sawa aanze tena na wengi wanaviwango vyao vikifika kama ni goli 1,2 ,3 au zaidi yy ndio basi shughuli imekwisha.

Kwa wanawake naona wanashida sana wao kufika kileleni.hii yote ni kutokana na maumbile yao.Lakini wapo ambao wanaweza wasifike kileleni bt still wakawa wanafurahia mapenzi na anakuwa na furaha pale mwanaume anayeshiriki nae tendo anavyoridhika.

Naomba kujuzwa zaidi kutokana na utaalamu wenu wadau.
 
inabidi wanawake watujuze wakifika kileleni wanakuaje
 
Unataka kufundishwa kuhusu wanaume au wanawake?
 
Unataka kujuzwa nini tena hapo, mbona wewe mwenyewe umeshamaliza kila kitu
 
the subject matter is vague, I can not comprehend. rudia tena.
 
mwanamke anaridhika na mapenzi anapoona pochi imenona
 
mada ngumu sana...ila hamna kitu kibaya km kushindwa kumridhisha mwanamke kimapenzi
 
Kwani kuridhika mpaka uvue chupi?
 
Michango mingine katika huu uzi!!!!! lol!!!!

 
Last edited by a moderator:
Aliekwambia nani kama mwanamme akipiga bao ndio kafika kileleni?....

Mwanamke yeyote anaweza kumfanya mwanamme apige bao ....sio kila mwanamke anaweza mfikisha mwanaume....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom