Recent content by shining star

  1. S

    Pregnant woman looking for a daddy/husband

    I can't stay away from my child when he is born, so am sorry but whoever takes him has to be willing and ready to take me too
  2. S

    Pregnant woman looking for a daddy/husband

    Dear all, I'm overwhelmed by th comments and advice, Mungu awabariki sana(my sins do not change who is). Natamani ningejibu comment moja baada ya nyingine lakini sitaweza, naomba nifanye kuzijibu zote/baadhi hapa kama hamtojali. About the responsible man: Ana taarifa za mimi kuwa na ujauzito...
  3. S

    Pregnant woman looking for a daddy/husband

    Hello everyone Just thought i should try, i might get lucky. I am 27 yrs old n 2 weeks pregnant, unfortunately i have to choose between being a single mother and abortion (God forbid). But there's a third option, if there is a man out there who for one reason or the other cannot have kids or...
  4. S

    Natafuta nyumba kinondoni

    Kigamboni, ubungo na kimara pia
  5. S

    Wanawake wa Dar na tatizo lao la kuomba omba hela

    Speak for yourself aisee, huku duniani wanaume sio kabisa...miezi 2 inaisha huoni hata vocha
  6. S

    Wanawake wa Dar na tatizo lao la kuomba omba hela

    Kupiga mizinga ni kipaji mjue. Si rahisi to some of us yaani unaweza spend 30 minutes kucompose msg ya kuomba hela afu ikiwa delivered unazima simu ha haa Ila wanaume mjiongeze Sometimes mtu anaomba hela si kwamba ana shida, she just wants to know how generous you are, and if she can count on you.
  7. S

    Natafuta nyumba kinondoni

    Dalali au mwenye nyumba naomba ni PM -chumba, sebule na jiko (self) -maji, luku na geti -tiles n gypsum -budget 150,000/- -kuhamia ni May 1st Negotiable pay plan Maswali na majibu yote yaletwe PM
  8. S

    Nashindwa kuwaelewa akina dada, ''toka tuachane sijawahi kuwa na mahusiano''

    Kuwa kwenye mahusiano na ku-have sex ni vitu viwili tofauti...make sure swali lako linakiwa clear
  9. S

    Mada maalum kwa wapenzi wa Tamthilia ya Isidingo

    ule mgomo umeacha kidonda moyoni!!! at least you tried!!
  10. S

    Marafiki wanahitajika

    subiri inaload...
  11. S

    Marafiki wanahitajika

    Am a girl miaka 25 naishi Arusha. Natafuta rafiki hapa Arusha ambaye anahitaji company kama mimi...nmejifungia ndani mpaka nahisi kuwa chizi...i need to get out there but sina mwenyeji... Sio mtu wa starehe bt napenda kuwa happy...n am single too so guys karibuni..who knows:)
  12. S

    Maalum kwa wanaume waliolelewa na mama tu

    nmekaa karibu na wanaume 2 waliolelewa na mama tu..kila baada ya sentensi moja mama anatajwa my mom does this, mom does tht mom mom mom! ikija kwenye relationshps hii ni issue cz atakuwa anacompare sana mkewe na mama yake na pia kuna hatari ya kuharibu mahusiano cz it will always be mama first...
  13. S

    Ananichanganya simuelewi, naomba ushauri

    Hiyo ni kitu kimoja tu lakini kuna vingine vingi vinavyoleta utata...
Back
Top Bottom