Maalum kwa wanaume waliolelewa na mama tu

Maalum kwa wanaume waliolelewa na mama tu

nmekaa karibu na wanaume 2 waliolelewa na mama tu..kila baada ya sentensi moja mama anatajwa my mom does this, mom does tht mom mom mom! ikija kwenye relationshps hii ni issue cz atakuwa anacompare sana mkewe na mama yake na pia kuna hatari ya kuharibu mahusiano cz it will always be mama first then wife...
 
Kiukweli mwanaume aliyelelewa na mama tu huwa ana kuwa na sifa kuu ya kuheshimu na kujali hisia za mpenzi wake kama tu huyo mpenzi akiwa ni mpole na muaminifu kwake.Hii imatokana na ukweli wa kisaikolojia kuwa taswira ya upole wa mpenzi wake huingia direct kwenye sehemu ya hisia ya kumbukumbu ya mama yake ya jinsi ya alivyomjali.Ndio maana wanasaikolojia ya mahusiano wanawashauri ukitaka kumpa mwanaume hamasa ya kukujali na kukupakipaumbele cha mapenzi.....mpende na mjali sana mama yake zaidi....atakuona ni muhimu kama mwanafamilia yake so hatoona kazi kukukubali milele.
 
Na kwa mwanamke ukitaka kumpa uhakika wa kuwa wewe ni mwanaume wa dhati kwake jitahidi kumjali kwa hali na mali kwa moyo na uwezo wako wote.Hii itamfanya apate hisia za kuwa usalama alioupata kwa baba yake tokea utoto wewe unampa tena ule usalama hivyo ndiye mwanaume unayestahili kumtoa kwenye mikono ya baba na mama yake na kumpokea ili azidi kupata usalama zaidi.Lakini ukiwa haumpi matunzo,humjali,haum'bembelezi,haufariji ......mmmmmmmmhmn ndugu kuibiwa au kuachana ni guarantee hapo hata kama kwenye bedrum upo poa kiaje.
 
nmekaa karibu na wanaume 2 waliolelewa na mama tu..kila baada ya sentensi moja mama anatajwa my mom does this, mom does tht mom mom mom! ikija kwenye relationshps hii ni issue cz atakuwa anacompare sana mkewe na mama yake na pia kuna hatari ya kuharibu mahusiano cz it will always be mama first then wife...

Kwa kweli kuna ukweli hapa sometimes my bf ananikwaza ,kuna wakati tulikuwa tunatafuta nyumba kwa ajili yake,tulipopata anaanza kujiuliza "Sijui mama ataipenda but in short they are very caring.....
 
nakubaliana na wewe kwa asilimia 200
tatizo lao akubwa ni kwamba huwa ni watu wa misimamo mikali sana
Kuna ka ukweli...
Uzuri wao hawana mfumo dume...
Wana respect sana wanawake...
Ila wanadeka...hii si kasoro as long as uko tayari kudekeza...
Na kama wataoa (maana wengine wagumu kuoa) basi wana work hard kuhakikisha hawaigi tabia ya baba zao (watoto wao hawalelewi na single parents) - nikiwa na maana hawataki ku repeat mistakes za wazazi wao...

(naongelea expiriensi)
 
Nmelelewa na mama... n ktombi tu bt sijawah deka
 
nmekaa karibu na wanaume 2 waliolelewa na mama tu..kila baada ya sentensi moja mama anatajwa my mom does this, mom does tht mom mom mom! ikija kwenye relationshps hii ni issue cz atakuwa anacompare sana mkewe na mama yake na pia kuna hatari ya kuharibu mahusiano cz it will always be mama first then wife...
Hebu niambie kuna tatizo gani kwenye hili au mfano ulio utoa? Kwanini Mama aliye nilea asiwe wa kwanza halafu wa kwanza awe MTU niliye kutana nae ukubwani?
Si kila mama ana dekeza mtoto

Hata Mimi nimelelewa na Mama na yeye ndiye huwa anakuwa wa kwanza wengine wanafata na katika hili huwa sina mjadala kabisa!

Dedication
Nani kama Mama-Christian Bella
 
Unajua tabia ya Obama boss Lala 1
 
Last edited by a moderator:
wengi wao wanakuwa wanawajali wanawake, ila pia wanakuwa wanamiss kitu inaitwa adabu sababu wamekuwa katika mazingira wao ndo wanaume wa nyumba. all in all, mtoto wa kiume anahitaji a father figure wakati anakua
 
wengi wao wanakuwa wanawajali wanawake, ila pia wanakuwa wanamiss kitu inaitwa adabu sababu wamekuwa katika mazingira wao ndo wanaume wa nyumba. all in all, mtoto wa kiume anahitaji a father figure wakati anakua

Kwa maneno hayo unajaribu kusema Wamama hawajui kulea?
 
Kwa maneno hayo unajaribu kusema Wamama hawajui kulea?

nataka kusema watoto wa kiume hawana uwoga au utiifu kwa wanawake hata wawe wamewazidi umri. kwa mfano vijana wangu nikiwakataza kitu au kutaka kuwa-discipline utasikia wanacheka, ila baba yao akisema kitu wanatii. na bff na my sister wangu wana tatizo hilo hilo na vijana wao wa kiume...am still doing this research
 
Back
Top Bottom