Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,632
- 20,973
Hakika ni msaada ulioje? Ni nafuu na msaada mkubwa kwa dharura mbali mbali za kibinadamu../ hakika huduma zao zilinikomboa palipokuwa pagumu mno../ lasivyo ningeangukia kwa waweka bond wa kitaa wasio na huruma hata kidogo.
NAWAPONGEZA SANA.
•JE WEWE HUDUMA ZAO ZIMEKUSAIDIAJE?
TUSHAURIANE HAPA.
NAWAPONGEZA SANA.
•JE WEWE HUDUMA ZAO ZIMEKUSAIDIAJE?
TUSHAURIANE HAPA.