Mara sec tuliminda sana..lakini wapi kama jini. Kuna siku masela wakatega waya nyeusi huku kwenye njia ya nyuma ya mabweni.wakivizia akirudi usiku waya umfanyie mambo..maajabu watu wamekaa hadi SAA NNE wanashangaa anatokea Barbara ya uwanjani..kijana walichoka aisee
Yani kumbe nawe ni mara sec product[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ..
Sisi tulikuwa na mkuda mmoja anaitwa mongate..alikuwa shida sana..tulishaandamana kwa ajili Yake hadi kwa mkuu Wa mkoa wapi..alituwinda hakuna mfano ..dawa Yake sasa tukawa hatutoroki mchana Bali usiku kuanzia SAA...
Bora unaweza waambia hawa mataahira ya ccm..maana hata hawajui taratibu za utungaji Wa sheria
.hakuna sheria nchi hii unaweza tungwa bila concern ya rais
Na ndio maana wanamwambia alete sheria bungeni zifumuliwe..
Jamani kwenye maswala ya kitaifa wekeni uchama pembeni..ni nyie kwa wingi kwenu...
Chadema hatuna akili fupi kama wewe aisee..hatupingi maamuzi ya rais..kwani ni swala ambalo tumelipigia kelele miaka nenda rudi..ila kwa sababu ccm akili zao fupi na wako bungeni na huwa hawajali maslahi ya taifa wakaingiza nchi kwenye mikataba mibovu kupindukia.just imagine MTU mzima n ajili...
Kwani INA mana picha za mwanzo akiwa kazidiwa hakuziona? Wabongo kwa kick siwawezi aiseeee....hakuna rambi rambi hapo. Maana hamchelewi unda kamati ya michango...
Uko right na uko wrong pia...naomba unijibu hili..
Tumeingia mkataba Wa mauziano ya bidhaa kwa muda flank let's say miaka miwili..baada y mwaka ukagundua kwamba nimekupiga..je? Ukiamua kuu review mkataba wewe mwenyewe kisha kukiuka makubaliano bila kunishirikisha Mimi ambaye ni 2nd part kwenye...
MNA Huduma mbovu sana..simu zenu muda wote hazipokelewi..mkitumiwa msg online hamjibu..mnaboa sana wazeee..kuna siku mlikua mnasumbua nimeeka mkeka Wa buku 10 mkeka haukuw paid na fedha yangu ikachukuliwa..tokea siku hiyo nikaachana na nyie nikaona matapeli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.