shibumi
Senior Member
- Dec 14, 2016
- 125
- 205
Ndicho mnachotaka ili Lumumba mbali mwenyewe..mnaanzisha mada za kichoko kabisa nowdaysKama unaboreka nenda kwingine usikoboreka, hujashikiwa bunduki kuingia JF.
Ndicho mnachotaka ili Lumumba mbali mwenyewe..mnaanzisha mada za kichoko kabisa nowdaysKama unaboreka nenda kwingine usikoboreka, hujashikiwa bunduki kuingia JF.
...we wanena haya kwa mamlaka gani!??Kama unaboreka nenda kwingine usikoboreka, hujashikiwa bunduki kuingia JF.
Wangapi wamezaa nje ya ndoa hapa Tz? Je mlishawahi kuwa andika hapa JF? Je hiyo topic ina wasaidia nn watanzania?Mkuu kwani ni siri? Kila mtu hata mke wake anajua mwenyekiti amezaa na mh Joyce Mukya
mtoa mada acha unafiki mbowe hajawahi kuzaa nje ya ndoa
Sometimes
Kama unaboreka nenda kwingine usikoboreka, hujashikiwa bunduki kuingia JF.[/QUOTE
Bashite, uko mzima?
Basi msitumie nguvu nyingi kukataa, tufanye na yeye ni binaadamu kama sisi japo ni kiongozi wa wafuasi mamilion nae ana tamani vitu vizuri tunavyokula uraianiWangapi wamezaa nje ya ndoa hapa Tz? Je mlishawahi kuwa andika hapa JF? Je hiyo topic ina wasaidia nn watanzania?
mtoa mada acha unafiki mbowe hajawahi kuzaa nje ya ndoa
Mada za kichoko zikoje? kumbuka Mbowe ni public figure hivyo lazima asemwe.Ndicho mnachotaka ili Lumumba mbali mwenyewe..mnaanzisha mada za kichoko kabisa nowdays
Kajipange tena mkuu => Freeman Mbowe na Joyce Mukya wamtumia Mjomba wa Mtoto kupata cheti cha kuzaliwamtoa mada acha unafiki mbowe hajawahi kuzaa nje ya ndoa
Wengi sana lakini sio public figure hivyo hawatuhusu... Mwenyekiti wa Chama kikuu cha upinzani, Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani(KUB) na mbunge kuzini ni kosa kubwa sana hivyo lazma asemwe.Wangapi wamezaa nje ya ndoa hapa Tz? Je mlishawahi kuwa andika hapa JF? Je hiyo topic ina wasaidia nn watanzania?
Bora hao, Kuna kiongoz mmoja Anaitwa Makomeo mwenyekit wa chama kam-baka mwanae, na mwanae kaamua kujiua. Na mkewe mama J Makomeo hadi leo hii hana raha Kabisa kwa sababu ya kifo cha mwanae, pia Makomeo kazaa na mdogo wake mkewe. Dah! Makomeo Makomeo Makomeo, ww ni mbwa sio malaya maana kiwango cha umalaya umepita.Nimetonywa na mmoja wa Wabunge wa bunge la jamhuri ya Muungano kuwa , Mbunge wa Hai na kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni Mh. FREEMAN MBOWE ameuandikia barua uongozi wa Bunge akiuomba kumtumia tiketi ya Ndege mzazi mwenzake (JOYCE MUKYA) arudi nyumbani kutoka DUBAI alikokwenda kwa ziara ya Kikazi.
Habari za uhakika kutoka kwa mtonyaji huyo zinasema KUB huyo amekasirishwa sana na kitendo cha Uongozi wa Bunge kumruhusu huyo Kimwana wake aende hiyo safari huku ukijua wazi kuwa Katika safari hiyo yupo pia mbunge wa SUMBAWANGA MJINI, MHE. HILAL AESHI ambaye hapana shaka kwamba naye ana mahusiano ya kimapenzi na JOYCE MUKYA.
Hata hivyo inasemekana kuwa Uongozi wa Bunge umepuuzia maombi ya MBOWE kwa vile unaamini kuwa Waheshimiwa Wabunge hao wamekwenda DUBAI kikazi zaidi na siyo kimapenzi.