Recent content by shenzii

  1. S

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyoanza ujasiriamali kipindi nipo chuo

    Unenikumbushq mbali sana iv unamkumbuka yule jirani ako aliekua anafuga mbuzi huku ana shambq la bange yani mbuzi wanakula majani ya bange ye anakuja kukusanya kinyesi anaanika kisha inakua bange hy zaidi ya skanka ..na n mimi
  2. S

    JamiiForums Tanzania Bodaboda ndo watu wenye IQ ndogo zaidi

    Hawa wanaoitwa maafisa usafirishaji kwakweli wana IQ ndogo siwasingizii ukiangalia mambo wanayofanya mpaka mtu unashangaa kabisa kama hivi huyu mtu ana akili kweli Kwa mfano huku dar hii morogoro Road unakuta kibodaboda kimebeba watu wawili mobonge lakini kinavyopita katikat ya malory hadi...
  3. S

    JamiiForums Tanzania SI KWELI CHADEMA wametumia Picha ya AI kuongeza idadi ya wafuasi kwenye mkutano wao Arusha?

    Na kwani idadi ya watu ikiwa kubwa au ndogo huyo akili finyu inamhusu nini kma yy yupo upande b si atulie shida nn nn kwani ..anyway m bad sina chama
  4. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jaribu kuuliza hili swali kwa mchumba/ mke wako

    Muda wa kusaka sabuni ss
  5. S

    JamiiForums Tanzania Naona vyuma vya China tutaanza kuvizoea sio muda. Ona ili Zeekr 9X SUV!

    Jetour sijui nimepatia bongo zishaanza kuingia kwa kiasi Goba nazionaga nyingi nyingi ... hiyo chuma inaonekana mchina katoa idea kweny RR
  6. S

    JamiiForums Tanzania Aliyesema "hatuijui kesho yetu" alipatia sana. Nimenusurika kufa kwa kuhara na kutapika

    Pole sana mkuu ..ila nasikia kama unahara ukinywa vikali unapona chap yani nyagi ,hason na nduguze next time jarib minyoo lazima ipagawe
  7. S

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kwanini Tanzania imekuwa kama dump ya bidhaa feki almost kila kitu sasa hivi ni feki

    Acha tu kaka na saiv wametuletea akili feki akili mnembe hata nguvu za kufikiria hatuna tena jap ni ya wote
  8. S

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kwanini Tanzania imekuwa kama dump ya bidhaa feki almost kila kitu sasa hivi ni feki

    Hali inatisha jamani sijui kam taifa tunaelekea wapi kila kitu ni feki kila kitu Ukienda kununua dawa kwenye haya mapharmacy dawa nyingi ni feki hasa tunaopenda dawa za bei rahisi ila ubaya unauziwa feki kwa bei ya og kama unajipenda nenda kwenye mahospitali ghali alteast kuna dawa kule...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Bwana Misosi akiwa bado underground aliwezaje kuwapata wasanii wakubwa walioonekana katika video yake "Nitoke vipi?"

    Kitambo sana dsm inatwa bongo kipindi hicho mtu akija bongo ni kam sa iv mtu akiwa USA
  10. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke akikuambia tuachane, muache siku hiyo hiyo hata kama alikuwa anatania

    Mi naona bora udili na zimwi ulijualo kuliko kuanza upya sasa s kila siku utaupdate mkuu
  11. S

    JamiiForums Tanzania Kamwe usikubali kuhatarisha maisha ya mtoto kwa kumpandisha bodaboda, wengi hawajielewi

    Ni hatari sana na kwanini wasisome shule karibu na majumbani na hii tabia
  12. S

    JamiiForums Tanzania Kamwe usikubali kuhatarisha maisha ya mtoto kwa kumpandisha bodaboda, wengi hawajielewi

    Hawa ndo wehu afu akiswaweka na kisingeli anaona yupo kwenye range
  13. S

    JamiiForums Tanzania Kamwe usikubali kuhatarisha maisha ya mtoto kwa kumpandisha bodaboda, wengi hawajielewi

    Na hao wapo wachache ila all in all boda ni janga
Back
Top Bottom