Recent content by Shekizongoro

  1. Shekizongoro

    Naliona anguko la Diamond linakuja kwa kasi

    Diamond anajua mashabiki, TV, radio, mapromota na waandaaji wa tuzo wanataka nini, wapi na lini. ndo anafanya. Kwa hiyo Mziki wake unapata airtime, nakiwania tuzo anapata. Na Vanessa anafanya hivohivo. Kwa sasa hakuna jinsi ya kumstop dai; wasanii wamtumie kama yeye alifanya kwa AY. Sio...
  2. Shekizongoro

    Hali yazidi kuwa mbaya Burundi, kambi ya jeshi yavamiwa na waasi

    Warundi naona mnatafuta kichaka. Kama tatizo ni Kagame 1. Kwanini ameamua kufanya hivo kipindi hiki wakati Nkrunzinza anaongeza kipindi cha 3 na hakufanya hivo wakati anaongeza kipindi cha 2? 2. Kama Kagame anaivuruga Burundi kiasi hicho, hamuoni kwamba Nkrunzinza ni President aliefail...
  3. Shekizongoro

    Devotha Minja wa ITV Morogoro

    Aisee; na Spensa angepata viti maalum kumbe?
  4. Shekizongoro

    GE2015 Mgogoro wa UKAWA kuhamia bungeni, Antropia Theoneste akwaa Viti Maalum

    Vigezo vya kuwa mbunge maalum ni vipi? Huyo Antropia hana hivyo vigezo?
  5. Shekizongoro

    Watanzania Wote Bila Kujali Itikadi za Vyama...

    Kero yangu ni katiba; nataka katiba ya Mzee J. S. Warioba
  6. Shekizongoro

    Prof. Kitila Mkumbo, muogope Mungu!

    Kijijini kwetu Lowassa alimgaragaza saana Pombe
  7. Shekizongoro

    VOA On Tanzania election--Straight Talk Africa

    Mi waliniletea chandarua; huwa nawakumbuka saana
  8. Shekizongoro

    VOA, Kipindi cha Straight Talk Africa, Lowassa will win

    Hawa nyumbu watafana kumpa kura mtu mmoja
  9. Shekizongoro

    Mbowe atuhumiwa kuhamisha mabilioni

    Mnaiga hadi comment. Ahahaha
  10. Shekizongoro

    Sijawahi mwelewa Sumaye tangu akiwa CCM mpaka leo hii mkutanoni Mbeya

    Ukiwa na akili ndogo usihangaike na akili kubwa
  11. Shekizongoro

    Mbowe atuhumiwa kuhamisha mabilioni

    Dah.! Ngoja tudeal na CCM kwanza hiyo tar 25
Back
Top Bottom