VOA, Kipindi cha Straight Talk Africa, Lowassa will win

VOA, Kipindi cha Straight Talk Africa, Lowassa will win

Vijana cyo wapiga kura nchi hii. Ni wanawake na waliopo vijijini. Mheni rasmi ni nani hadi atusemee watanzania mil 22? Amefanya research au utashi wa moyo wake? Mtanyooka tu safari

Twaweza jamani
 
endeleeni kujipa moyo tu sie tumejichimbia vijijini kwenye wapiga kira wengi tutakutana tarehe 25

Jamani mm ni CCM najisikia tumbo linavuruga nikiona mafuriko ya Lowasa,mgombea wetu kilasiku anazomewa,nimegairi na mm napigia ukawa kura zangu
 
Tumbo linakuvurugaje dada au jana walikutinyua malinder nn funguka tu.
 
usiseme kushinda kati bado hujapiga kura.....tusiwe na iman...koz iman juu ya ushindi wa mtu ndo chanzo cha fikra potofu.....koz mambo yanaeza kuja tofauti...!
 
nimeangalia comment ya kwanza mpaka ishirini zote zinafanana ndio mana wanawaita nyumbu haiwezekani mawazo ya watu wote kua yanafanana lazima kuwe na utofauti kidogo.

Hawa nyumbu watafana kumpa kura mtu mmoja
 
Lowassa can win election, katika kipindi cha Straight Africa mgeni kwenye kipindi amesema kuwa Edward Lowassa ana uwezekano mkubwa wa kushinda kwa sababu ana wafuasi wengi ambao ni vijana na ndio wapiga kura.

kwann chadema mnapenda kujitekenya na kucheka wenyewe kwani VOA ndo akina nani hasa mataifa makubwa tu ulaya yanatambua rais ajaye wa Tanzania ni magufuli
 
Back
Top Bottom