Lissu alikuwa anapambana na njau wa ccm. Hapo je ukanda ukoje
Hapo hawawezi kukujibu!
Lissu alikuwa anapambana na njau wa ccm. Hapo je ukanda ukoje
Si kweli...hivi jamani naomba niulize kidogo kwani kule Tandahimba alikoshinda mgombea wa CHADEMA kuna wachaga wengi kuliko makabila mengine?maana mara chama cha wachaga mara ukanda,mi nafikiri chuki mnazopandikiza hazina mantiki
Kwa "Case" ya Dar ni "Exceptional" maana Lowassa kafanya kampeni dar zaidi ya mara 4!Karibia kila weekend Lowassa alikuwa anarudi Dar kufanya Kampeni.
mkuu menichekesha kweli kweli, umesahau na ufuo saro kule kanda wa pwani.
Kwa hiyo Spencer Lameck abadilishwe jinsia sio??. Sisi tunaongelea viti maalum wewe unakuja na jini uchochezi na kuleta uozo hapa.
Watampa uchaguzi ujaoCHADEMA wamesahau kumpa ubunge wa viti maalum mwandishi mwingine wa ITV Morogoro anaitwa Ida Mushi naye ni mchaga mwenzao.
Sasa kati ya devotha minja na spencer lameck nani alisyahili???
Kwi kwi kwi!!
nadhani kuna umuhimu wa kubadilika. kuwa mchaga hakumnyimi haki ya kuwa kiongozi katika nchi hii.tusiwe na wivu kwa sababu baadhi yao wamefanikiwa sana. najua ni propaganda za kuiangusha chadema ila ninachosema tutafute propaganda nyingine, wachaga wana haki ya kula hii keki ya taifa. acheni ubaguzi
hivi na SUGU anatokea kaskazini?
Jimbo la Segerea UKAWA kata 13 CCM 0
Lissu alikuwa anapambana na njau wa ccm. Hapo je ukanda ukoje
Kosa halihalalishwi na kosa lingine jibu hoja.
Kwa majibu haya na mtazamo huu mnamtia matatani mmiliki wa kituo alichokuwa anafanyia kazi huyo aliyeteuliwa.
Iringa mjini CDM 14 CCM 4
nawapongeza saaaana chadema kumteua uyu dada ubunge viti maalum anastaili kwakweli maana alikua jasiri kureport habari ambazo zingemtia matatani
tutammiss sana wapenzi wa itv
Kumbe Mbatia ni mwanamke! makubwa!