Uongo na uzushi wa Jambo Leo
Vichwa hivi vya habari vinaweza kuandikwa na gazeti la namna gani ?
(Slaa ana Wazimu)
Tarehe 20.01.2011 gazeti la Jambo Leo lilinadi habari yake muhimu kama ifuatavyo: 'Slaa ana wazimu: Adaiwa Sasa anebakiza Kuvua Nguo.'
Kwa heshima na taadhima zote, Dk...
MoU ya Serikali ya JMT
na
THE CHRISTIAN COUNCIL OF TANZANIA &
TANZANIA EPISCOPAL CONFERENCES
Versus
MAHAKAMA YA KADHI
TATHMINI KWA MAKINI tu unafiki na undumilakuwili wa wabunge na mawaziri
wetu kuhusu uamuzi waliochukua kwa
kuwakatia wakiristo sekta ya elimu na afya (jambo la...
HABARI za kuaminika ni kwamba mtuhhumiwa mkuu katika kesi ya mauaji ya vijana wasiokuwa na hatia jijini huenda akaachiwa huru baada ya rushwa kugawanywa kama pipi kwa mahakimu, waendesha mashtaka na mawakili.
Inaaminika fedha hizo zinatokana na mauzo haramu ya almsai na vito walivyoporwa marehemu.
CHADEMA inajiua yenyewe kwa kuwa CHAMA CHA DINI ZA KILUTHERI NA KIKATOLIKI !
Hakika watakaoikiua ni wale wanaodhani kuwa nchi hii inaweza kuwa na chama kinachasapotiwa na watu wa dini moja kwa hasara ya chama au vyama vingine.
Ninawahusudu CHADEMA lakini hawa wameula wa chuya. Na katika...
Hii kesi ya Fisi na mbwa kumshtakia Mbuzi kwa
Simba na chui. Wote mnajua kesi za namna hii zilivyo! Lakini pia unaweza kukuta ni danganya toto. Je, mshtaki ana mahekalu na magari mangapi. Fedha yoooote ya CCM ilikuwa salama mikononi mwake? Au hawa jamaa ndio wale wanaoitumia CCM kuchukua...
Hivi Mkuu wa Chuo angelikua Prof. Viktor au Prof. Peter au Prof. Mbogo-watu wapole na wastaarabu na wasio na papara na kifu fesa chuo kikuu kweli kingelikwenda njia inayokwenda sasa.
Ninadhani chini yao fedha inayozalishwa na Chuo Kikuu katika miradi yake mbalimbali ingelionekana na...
Lazima. Maana yeye lazima ashukuru kwa kupewa tenda za CCM kuuza mbolea kanda yote ya kaskazini sasa uliona wapi mkono mtupu ukarambwa au mtu kuuma mkono wa mtu anayemlisha.
Aishukuru CCM maana kama sio CCM alikuwa keshafilisika. Kisha wajua huyu bwana kawasaidia watu wasiomhusu lakini...
Ninasikia wamo pia baadhi ya jamaa wanaotuhumiwa kama fisadi EPA!
Lakini kama wamo mie natoa hongera. Maana hawa sio sawa na wale wanaozificha hela Uswizi au Marekani na kisha wakafa hakuna mtu anajua na zikawa zaliwa na wazungu huku sisi hatuna ajira na twafa njaa!
UDSM : Sasa Kisiwa cha 'udikteta' ndani ya Nchi ya Kidemokrasia Tanzania
AMRI, vitisho, mabavu, unyanyasaji na matumizi ya vyombo vya dola bila sababu za kibusara na kihekima ila vitisho na kuonesha musuli kati ya kina David na Golliath kumegeuza eneo la Chuo Kikuu mlimani kuwa kisiwa cha...
Wizara ya Habari kupitia Idara yake ya Maelezo imesimamisha Usajili wa magazeti kwa sababu ambazo mpaka sasa hivi hatuzijui.
Tofauti na Kenya ambako unaweza kuanzisha gazeti halafu baadaye kuliandikisha kibiashara hapa Tanzania huwezi kuanzisha gazeti bila kusajiliwa na Idara ya Maelezo...
Wizara ya Habari kupitia Idara yake ya Maelezo imesimamisha Usajili wa magazeti kwa sababu ambazo mpaka sasa hivi hatuzijui.
Tofauti na Kenya ambako unaweza kuanzisha gazeti halafu baadaye kuliandikisha kibiashara hapa Tanzania huwezi kuanzisha gazeti bila kusajiliwa na Idara ya Maelezo.
Hii...
BIASHARA YA MAFUTA ITAIFISHWE MARA MOJA
KIONGOZI MKUU wa mgomo wa vituo vya mafuta inavyoelekea ni OILCOM ambao walianza kuficha mafuta ya peteroli kuanzia mwishoni mwa mwaka jana.
Sasa ni Watanzania vs Wauza Mafuta. Zao au zetu. Iweje Marekani bei ya mafuta imeshuka toka dola 4 kwa lita...
Utangulizi:
KWANZA, natoa shukrani za wazi kwa Sheikh Ido Mohammed Iddi wa Msikiti wa Mnyamani kwa kuwa mstari wa mbele kuzungumzia haki ya Waislamu kuwa na Mahakama yao ya Kadhi kama ilivyo Zanzibar, Kenya na sehemu nyingine Afrika. Yeye na viongozi wengine wa Kiislamu tunaomba wasikate tamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.