Sidhani Lazima wakae tena kushauriana
Sasa kamauelewi kajifunze kwenza acha kuleta blablaa, kwanza takasha kiswahili chako? alfu ndo ujekuuliza maswali ako> vibalagashia ndio walioleta UHuru na pia Julius aliva kibalagashia wakati huo Pork eater wanafubaishwa akili na wakoloni. Jufunze history ya nchii hii.
Sasa hivi umeletwa mjini na serikali ya CCM vitabu vingi tu vya kiswahili na vya Historia ya nchi. Nyerere kavalishwa balaghasia hakuvaa msalaba wakati tunagombania uhuru na Swaumu pia tulimfungisha! Kelbu we!!
. Mimi ninamvalisha mbwa wangu hapa nyumbani.
sawa mzee wangu, hawajamaa hawaijui nchi hii wameebuka from no where? hawakuwepo wakati ule.
Vikianza mi nitawanza hawa CCM popote walipo
Mkuu nchi huru hii hamna mambo ya kulazimishana watu. Wewe toa hoja tu kwa nini watu waikubali OIC. Kama hoja zako zina nguvu natumai ujumbe utafika ila hii simply kusema tu tukubali kitu kisa bontowar kasema haipo. Wewe kama nani? Toa hoja mkuu.Mkuki kwa ngurue
Hakuna haja ya ruzuku meefurahi kusamehewa kupitisha biashara zenu bure na mme nuna kunyimwa ile ruzuku ya na MKUU.. ndio sasa mnasema tena SIO CHAGUO LA MUNGU pia mkubali OIC
Jamani,
Mimi sielewi kitu kimoja; naomba msaada - mahakama ya kadhi itakuwa ya waislamu, na siyo ya serikali; sasa ni kwa nini waislamu wanataka serikali ndiyo iwaanzishie hiyo mahakama? Kwa nini wasianzishe wao wenyewe huko misikitini or wherever?
Akizungumza katika kongamano hilo, Sheikh Said Rico, ambaye pia ni mhadhiri, alisema, Mufti Simba si msemaji wa Waislamu wote na kwamba anajivika mamlaka yasiyo yake.
Imekuwaje tena? Juzi si tuliambiwa mambo yote yamekwisha na kadhi anakuja? Nakumbuka post hii:Waislamu wampa Waziri Mkuu siku 14 kutangaza mahakama ya kadhi
Tangible facs ni kuwa kikao kimekwisha na Pinda anakula wali nam asheikh na mahakama ya kadhi iko kwenye pile line
what more tangible facts mnataka?
Ina maana Waislamu wengi sio wastaarabu?Wanashusha hadhi ya Waislam wastaarabu wachache .
Jamani,
Mimi sielewi kitu kimoja; naomba msaada - mahakama ya kadhi itakuwa ya waislamu, na siyo ya serikali; sasa ni kwa nini waislamu wanataka serikali ndiyo iwaanzishie hiyo mahakama? Kwa nini wasianzishe wao wenyewe huko misikitini or wherever?