HABARI za kuaminika ni kwamba mtuhhumiwa mkuu katika kesi ya mauaji ya vijana wasiokuwa na hatia jijini huenda akaachiwa huru baada ya rushwa kugawanywa kama pipi kwa mahakimu, waendesha mashtaka na mawakili.
Inaaminika fedha hizo zinatokana na mauzo haramu ya almsai na vito walivyoporwa marehemu.
Inaaminika fedha hizo zinatokana na mauzo haramu ya almsai na vito walivyoporwa marehemu.