Mbona we ujasema ya kwako sikuile pale Grandvila ya makumbusho sio ile ya sayansi au kwa kua lile ombi lako limeshindikana ndo unaamua kusema uzushi huu??
we mpaka tuweke picha zako ulipoenda kuomba msaada wa kuongezewa pesa ili uweze kutoa gari yako pale hororo border ulipoambiwa pesa hakuna ndo yote haya yameanza haya bwana lakin ukijavuliwa nguo usikimbie uchutame
subiri uwekwe hadharani
Jamani nimeibiwa simu yangu Iringa nilikua nikitokea mbeya sasa leo imeniletea picha kwenye email yangu ya gmail kwamba kuna picha imepigwa na picha ya huyo mwizi ni hii apo je nifanyaje kumpata? kwani nilishuka tuu pale maeneo ya ipogolo kuunganisha gali ya dar kwani nilikua nawai Dar kwenye...
FYI yule mrefu wa mwisho kwa msafara anaitwa luteni godfrey yani mseven alikua anamwangalia huku kashika kidevu chake anashangaa jamaa wanavyofanya mambo ni tofauti kabisa na vijana wake na yule jamaa alikua batalion ya 4 pale goma na ndio alio fanikisha mauaji ya mamadou
Manyerere ameongea kitu sahihi kwamba chadema kinatakiwa kufikisha rudhuzuku chini ni sawa kabisa sasa mkiingiza uongo wenu ndo mnatuboa kabisaaa
makene ushauri ni mbaya uache kama mdhuru chukua kwa nn uanze kwa kubeza?? jamani tunajenga nyumba moja kwa nn tugombanie fito?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.