measkron
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,782
- 2,418
Last edited by a moderator:
nahili ndilo jibu mengine yote ni siasa za kibongo!!
Jan 8th 2014
Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Brother Edward Lowassa, ametembelea miradi ya maji katika kata ya Selela iliyopo Jimbo lake la Mondul na kuongea na wapiga kura wake na kuwapiga vijembe viongozi wa chama chake waliomwambia watamchukulia hatua kali kwa sababu ya kutangaza nia ya kugombea kiti cha urais mwanzoni mwa mwezi hata kwa chama JIWE atakuwa rais 2015.
Brother Lowasa aliwakumbusha akina Nape na Mangula kwamba yeye Uwezo anao, nia anayo, wananchi wananipenda wakanitangazia siyo mimi nimetangaza na kuhusu harambee nimechangia kama wenzangu wanavyochangia, au nikiitwa kwenye harambee nisishiriki mpaka uchaguzi wa rais 2015 upite? Hiyo ni adhabu. Tuwe wangalifu na kuchambua maneno, Tusiwe wepesi kulaumu na kuhukumu na pia kuwa kiongozi siyo kutisha na kuogopesha wanachama, wote tuna haki sawa katika chama chetu.
Ni hivi majuzi viongozi wa juu wa CCM walimuonya Lowasa na wananchama wengine wa chama hicho kuacha kujitangazia kuwania urais kupitia CCM kwa vile muda wake rasimi bado na pia kutoa michango ya harambee mbali mbali, na kwa kufanya hivyo ni kuvunja kanuni, sheria za mwongozo wa chama na adhabu yake ni ku-jiqualify automatically wenyewe kwenye kuwania urais. Hata kinana mmoja ndugu sebastiani Kiondo wa Sanawari Arusha alisema vyama siasa nchini vyote lao moja kupigania maslahi yao badala ya wananchi,...ebu niambe ndugu mwandishi Brother Lowasa anakosa gani kama siyo fitina za viongozi wakuu wa CCM?, ukiona hivyo wana mgomea wao tayari na tayari ameshajaza fomu ya kugombea kinachosubiliwa ni siku ya kumtangaza, alimaliza ndugu kiondo kwa masikitiko.
in Magu Kahangara.
![]()
Rubbish ndio maana watanzania tunaambiwa wajinga huitaji kuwa mtu mwenye akili kuona Lowassa harambee zake sio za kutoka moyoni bali kuwania urais pamoja na kashifa za wizi na utajiri wa haraka alioupata. Hata anaoita marafiki zake wanakuja kutoa pesa kwa kutarajia kurudishiwa siku Lowassa akiukwaa urais. Nyerere aliwahi kusema Lowassa hafai Kikwete akatia jeuri kwa kumchagua kuwa waziri mkuu matokeo yake akachukua 10% Richmond na kufukuzwa uwaziri mkuu