Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,083
- 12,326
Ndio maana mpaka leo Matokeo ya mechi hiyo hayajaripotiwa!! Kweli yebo ni yebo tu.Jana niliwasiliana na mchezaji mmoja wa Yanga alieko Uturuki ambae ni jirani yangu kaniambia walifungwa 7-1 na timu moja ya huko siku ya jumatano ila waliambiwa wasiseme na waandishi wa habari waliambatana na timu wametakiwa wasiripoti. Soka yetu tunamdanganya nani?