Recent content by shatisuruali

  1. shatisuruali

    Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    Ni sawa na kutaka kuthibitisha kama binadamu ana roho.
  2. shatisuruali

    Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    Uchawi unalindwa na professional code of ethics.. haupo public na Siri na misingi yake inasimamiwa na wenyewe. You are looking for it in a wrong place.. Mshana Jr
  3. shatisuruali

    Je, magari haya yanamudu barabara zenye mchanga mwingi?

    2.4L harrier AWD town trip inatoa 6km/L highway 8-9km/L hamna penye mchanga inakwama. Tusubiri wa Alphard waje.
  4. shatisuruali

    KWELI Video hii imetengenezwa kwa teknolojia ya Akili Unde

    Jibu ni hilo kaka video siyo halisi. Imetengenezwa kwa akili unde. Kadri siku zinavyosogea tutashindwa kutofautisha matukio halisi na ya unde.
  5. shatisuruali

    Plan B yakuokoa Hasara kwenye Hisa

    Sawa ila ni betting tu.. inaweza kwenda kibra mazima.
  6. shatisuruali

    Marekani yaipa Kenya $1.6 Bilioni ili kuimarisha huduma za afya nchini humo

    Wanatudolishia.. Wamewapa Rwanda na Kenya bado Uganda, Malawi, Burundi, Zambia na Msumbiji
  7. shatisuruali

    Rwanda yalamba USD 228,000,000

    Zote zinaenda kuongeza vifaa vya waasi.
  8. shatisuruali

    Kuna aliyetoa pesa ATM ya CRDB muda huu au Leo imekubali?

    Katika vitu sijajaribu kipindi hiki ni kufanya miamala ya CRDB.. mpaka mtakaposema mambo fresh ndio nitafanya.
Back
Top Bottom