hataree sana,,hao kwao wanashida ila wanapenda sana raha km huna ela mzee ukimleta bongo utaibiwa tu cz atakukumbia..jmaa ang dereva alimleta mtusi mkaree kufika bongo mtt kakaa nae miez 4 tu.dem kamkimbia kaenda kwa wenye hela..hawafai km huna ela haoi aisee waone ivoivo tu
duh,hahaaaaa aya wenye din yenu polen sana ila tafuten ukwel juu ya din zenu nadhan mtaupata tu ukwel,..prof, mjema nadhan ashaanza kujua na kubain ukwel ndo mana akauliza juu la swali kubwa na zito juu ya vinywaji,na vyakula ktk din zenu...prof mjema tafuta ukwel mung atakuongoa zaid
always elimu haingaliwi kupitia chuo bt ni kupitia kichwa chwa huyo mwanafunz,unaeza ukasoma wap lkn bdo kichwan ni mweupe tu, aliajiriuwa dogo wa electrical engineering toka udsm kwe kampun mmoja iv na akapewa kitengo as workshop manager, bt yule dogo alikuwa mweupe kichwan mpk unashangaa yan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.