KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,129
- 32,823
Kajifunze ufundi Cherehani, jifunze mambo ya kupamba wanaita kudarizi! Na utundu mwingine, Ukimaliza hapo fungua Tailoring Mart yako, anza na cherehani hata mbili tu na tafuta MTU mfanye colabo, kisha lipia kibanda shona Mashati ya kudarizi na magauni yake. Shona Suti na mavazi ya kibubifu!!! Kuwa mwaminifu Kwa kazi yako, tembea huku na huko uone Mungu atakavyobariki kazi za mikono yako hadi ukimbie
Hata mimi pamoja na umri kwenda natamani sana kazi ya kushona na kubuni mavazi......siku moja nitasomea fani hiyo.....
Inalipa sana kwani mtaji wake ni mdogo tu